Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ni huyo huyo
Poleni sana, huyo teja ni wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana, huyo teja ni wewe?
Mbobezi hakuweza kuzuia katiba kuvunjwa????
Wasipomjibu utawafanya nini??
Jenga kwako
Nguvu ya JPM haina mpinzani ndani au nje
Sio vizuri kukosa upinzani ndani au nje, ila hawapo
Mwenzio anakanusha maneno yake umebaki gizani
Mbobezi hakuweza kuzuia???
Mijitu yenye gubu bana
Ni huyo huyo
Hawawezii..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bahari haipimwi kina cha maji kwa kuvukaa mkuuu...!! Jiwe wanaomshabikia toka moyoni ni Wachache Mnoo ndani ya CCM wengi waoo WANAFIKIIII MNOOOOOOO ndo maana hawezi ruhusu hio Battle kabisaaa...Mpeni basi hiyo form
HUYU ATAKUWA KAUMIA KICHWA AMA MGUU??
Ni kwanini swala la Membe halikufika katika kikao cha Halmashauri kuu ya chama?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha watu wachat wew...Mjomba unataka uzi mzima ucomment mwenyewe pumzika na wengine wachangie
Labda fomu ya uongozi wa kikundi cha kuleanaTulieni muizike ccm yenu na kwa taarifa yenu leo mwamba anachukua form, liwake jua inyeshe mvua
Umenena kweli kabisa, hata mbwa muoga ni lzm abweke kurudi bandani.Membe atapewa barua yake very soon awe mpole asilete kiherehere chake kwanza hata ukisikiliza speech yake ni mtu aliye jikatia tamaa kabisaa! Hahahaaa eti "na mnogeshajiiii nimimiiiiiii" membe bwana kawa kama mtoto.
Mwendo wa kubana matumizi sio?[emoji23][emoji23][emoji23]Fomu tuli print moja tu... [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha watu wachat wew...
Atapewa na Nani fomu labda yesu ampe photocopy tu yake,mbwa aliyekata tamaa ubwekea kurudi bandani.Labda fomu ya uongozi wa kikundi cha kuleana
Uyu jamaa hana tofauti na@Bia yetu halafu kila uzi yupo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha tu mkee ndo yale ya Nkurunzizaa anaongeza miaka ya urais lafu anakufaa...!! Uafrika ni laana yani mtu anafanya mambo as if ataishi milelee...Atapewa na Nani fomu labda yesu ampe photocopy tu yake,mbwa aliyekata tamaa ubwekea kurudi bandani.
Walipokuwa kwenye sytem waliweka pamba walipokuwa wakiambiwa badilisheni mifumo itakujawaumizeni mkiwa nje ya mfumo awakusikia walipanda miba njiani wacha iwachome.
Hawafanani hata kidogo!
Mmawia anajielewa vizuri sana!
CCM HAINA DEMOKRASIA ,CHAMA KINAENDESHWA KIBABE NA KUKOMOANA,WAASISI WANACHUKIWA SANAKwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...
Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama
Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.
Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.
Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo
Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?
Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM
Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!
Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Huwa najiuliza, hawa wanao-support kwenye mitandaoni ya kijamii ni watu halisi kwa sababu hatuioni support hiyo kwenye uhalisia?
Hatuna haja ya kumchukua sisi kwetu tunafurahi tu wenyewe kwa wenyewe mkurumbana kwetu sisi ndio mtajiMchukuen aje kugombea kwenu