Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Jamaa tayari ndio ashaingia hapa dodoma
Labda fomu ya uongozi wa kikundi cha kuleana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda fomu ya uongozi wa kikundi cha kuleana
Mbobezi hakuweza kuzuia katiba kuvunjwa????
Wasipomjibu utawafanya nini??
Jenga kwako
Nguvu ya JPM haina mpinzani ndani au nje
Sio vizuri kukosa upinzani ndani au nje, ila hawapo
Mwenzio anakanusha maneno yake umebaki gizani
CCM hawamjibu kwa kuwa hawaoni umuhimu huo, kwa sasa wanajielekeza katika mchakato wa Uchanguzi kuliko kumjadili mtu na hoja zake.Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...
Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama
Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.
Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.
Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo
Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?
Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM
Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!
Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Hawawezii..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bahari haipimwi kina cha maji kwa kuvukaa mkuuu...!! Jiwe wanaomshabikia toka moyoni ni Wachache Mnoo ndani ya CCM wengi waoo WANAFIKIIII MNOOOOOOO ndo maana hawezi ruhusu hio Battle kabisaaa...
Mjomba unataka uzi mzima ucomment mwenyewe pumzika na wengine wachangie
Kijana naona hujapona kabsaa!Nimepita pale ofisini asubuhi hii nimekuta getini wameweka walinzi wawili mmojawapo ni kipara kipya na magonjwa mtambuka
Ni haki yangu
Endeleeeni kumpa kichwa na fomu zenu za mitandaoni.
Mimi pia nimechukua fomu NHIF so mwacheni achukue ikiwa mnadhan kuchukua fomu ni tija. Ndipo mtajua mnashabikia ujinga
Wahuni watapindua mezaa walahiii...!! Hata kivulii hawawezi ruhusuu kishindane naee..Jiwe analijua fika hilo ndiyo maana kawaambia kutayarisha form moja tu, yaani muoga vibaya sana
Kufuata Katiba ndiyo msingi Bora wa uongozi. Fikiria Marekani wasingekua na misingi imara ya uongozi Trump aKalamu1
Najua kuwa Jiwe ameamua kuisigina Katiba ya nchi atakavyo......
Lakini hicho ndiyo kiapo alichokula kabla ya kuingia madarakani?
Hiyo najua ni ulevi wa madaraka uliyopindukia...........
Sasa ngoja tuwasubiri wenye chama chao, wamuonyeshe mlango wa kutokea huyo Jiwe, anayeamini kuwa "there is nobody to defeat him"
kwakua si Mtanzania?Kwanza najiuliza ilikuwaje Mkuu wa mkoa wa lindii..OCD na mkuu wa wilaya waliruhusuu ule mkutanoo wa Membe?????[emoji1787][emoji1787]
Kijana naona hujapona kabsaa!
Wahuni watapindua mezaa walahiii...!! Hata kivulii hawawezi ruhusuu kishindane naee..
Unajidaii hujuii etiii??? Mzee baba hawezi ruhusuu kabisaa...Kufuata Katiba ndiyo msingi Bora wa uongozi. Fikiria Marekani wasingekua na misingi imara ya uongozi Trump a
kwakua si Mtanzania?
Yeah[emoji122][emoji122][emoji122]
Hamna loloteKwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...
Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama
Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.
Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.
Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo
Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?
Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM
Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!
Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Hapana. Tunasubiri lolote litakalotokea kati ya June na October. Tuone huo mtikisiko.Mchukuen aje kugombea kwenu
Wakati mwingine uoga wenu tu ndio unawafanya mumtetemekee Magufuli!Hana mpinzani au watu wanaogopa kufanyiziwa na lile kundi lake la watu wasiojulikana?
Au kwa sababu kamanda mwenzio unaona aibu kumsema[emoji16]
Wakati mwingine uoga wenu tu ndio unawafanya mumtetemekee Magufuli!