Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

Ushapiga wanzuki sasa unarohoja tu
Mbobezi hakuweza kuzuia katiba kuvunjwa????

Wasipomjibu utawafanya nini??

Jenga kwako

Nguvu ya JPM haina mpinzani ndani au nje

Sio vizuri kukosa upinzani ndani au nje, ila hawapo

Mwenzio anakanusha maneno yake umebaki gizani
 
Mpeni basi hiyo form
Hawawezii..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bahari haipimwi kina cha maji kwa kuvukaa mkuuu...!! Jiwe wanaomshabikia toka moyoni ni Wachache Mnoo ndani ya CCM wengi waoo WANAFIKIIII MNOOOOOOO ndo maana hawezi ruhusu hio Battle kabisaaa...
 
Membe atapewa barua yake very soon awe mpole asilete kiherehere chake kwanza hata ukisikiliza speech yake ni mtu aliye jikatia tamaa kabisaa! Hahahaaa eti "na mnogeshajiiii nimimiiiiiii" membe bwana kawa kama mtoto.
Umenena kweli kabisa, hata mbwa muoga ni lzm abweke kurudi bandani.
Membe akaombe msamaha apige goti Kama kinana awe huru afanye biashara zake.Asitafute ligi kwenye kiwanda cha ligi.Mungu akupenda awe raisi.Maisha si zaidi ya kula na kunywa tu mengine ni ubatili tu.Mbona sisi tunajilimia matikiti yetu tunaishi tu kwa raha mustarehe tumewaachia wao watuburuze watugeuzegeuze Kama chapati hatuna mda tukiwa na stress tunazimwaga jf lkn hatuna madhara na mtu wao hata wakitaka waongoze miaka hata Mia hewala sawa tu muhimu amani tu tusishindwe kuuza matikiti yetu tu.
 
Labda fomu ya uongozi wa kikundi cha kuleana
Atapewa na Nani fomu labda yesu ampe photocopy tu yake,mbwa aliyekata tamaa ubwekea kurudi bandani.
Walipokuwa kwenye sytem waliweka pamba walipokuwa wakiambiwa badilisheni mifumo itakujawaumizeni mkiwa nje ya mfumo awakusikia walipanda miba njiani wacha iwachome.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha tu mkee ndo yale ya Nkurunzizaa anaongeza miaka ya urais lafu anakufaa...!! Uafrika ni laana yani mtu anafanya mambo as if ataishi milelee...
 
CCM HAINA DEMOKRASIA ,CHAMA KINAENDESHWA KIBABE NA KUKOMOANA,WAASISI WANACHUKIWA SANA
 
Huwa najiuliza, hawa wanao-support kwenye mitandaoni ya kijamii ni watu halisi kwa sababu hatuioni support hiyo kwenye uhalisia?

Huku kwenye mitandao ndio wako huru kufunguka, huko unakoita ni kwenye uhalisia, watu wanaogopa kuongea maana mnaweza kuwateka na kuwapoteza, au kuhujumu shughuli zao za kiuchumi.
 
Kwanza najiuliza ilikuwaje Mkuu wa mkoa wa lindii..OCD na mkuu wa wilaya waliruhusuu ule mkutanoo wa Membe?????[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…