ππHamna kaka.Daah mkuu π π ukorofi huu sasa
Vurumai kuhusu nini ndugu?Mbagala imekuwa vurumai
Kuna nyomi huko si kitoto
Ova
ππππππππ Nimecheka sana wee jamaa kuna mda unajitoa akili sanaππHamna kaka.
Jamaa kama Mbagala Saku tu hapajui na Mbagala maarufu vile,je Mwanagati,Mlamleni amewahi kupasikia kweli?
Na ni Dar es salaam hapa hapa.
Huko siyo Dar sema mkoani au mkuranga. Bichwa lako kama kisemvuleHii sijui ni tetemeko au ni kitu gani, wataalamu tunaomba mfuatilie na mtupatie majibu, Ardhi inapasuka na nyumba zinabomoka, eneo ni Saku Mwisho Dsm
Kumbe wewe wa Kinyerezi?Aisee hapa umeongea
Mfano kule Kinyerezi kwa Mbunge sidhani kama ni mahali ambapo palitakiwa kuwe na makazi ya watu ile ardhi ni maji tuu pechepeche na ule mfinyanzi
Astakafirulah mwisho ni mara 3. Hakuna mara 7Astakafillah astakafillah astakafillah mara 7
Huko ni Mwanambaya mkuuHuko siyo Dar sema mkoani au mkuranga. Bichwa lako kama kisemvule
Mlamleni mkoa wa pwani, wilaya ya mkuranga, kata ya tambani.ππHamna kaka.
Jamaa kama Mbagala Saku tu hapajui na Mbagala maarufu vile,je Mwanagati,Mlamleni amewahi kupasikia kweli?
Na ni Dar es salaam hapa hapa.
Unaijua Gongo la Mboto na mitaa yake?Mbagala imekuwa vurumai
Kuna nyomi huko si kitoto
Ova
Kwahiyo wewe unamtetea au...Astakafirulah mwisho ni mara 3. Hakuna mara 7
πHakuna tetemeko huko, kuna kutitia kwa ardhi kwa sababu ya watu kujenga juu ya udongo ulio dhaifu...
Dhambi zimezidihuko ni kuna laana sana aiseeh