Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Hao bila longolongo na fix watakufa njaa!,Nilidhani chai ya lisu na mbowe maana hawa wazee ni waongo. Utasikia eti wamegawana rushwa kumbe kapewa mgao kidogo kakataa. Hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao bila longolongo na fix watakufa njaa!,Nilidhani chai ya lisu na mbowe maana hawa wazee ni waongo. Utasikia eti wamegawana rushwa kumbe kapewa mgao kidogo kakataa. Hahaha
Utabiri uatimia pole pole!MBAGALA the dead city,
Kuhama pekee ndio lilikuwa suluhisho!!
Kuna Uzi humu JF unasema eneo la saku, majimatitu huu mji umejengwa juu ya makaburi ya watu flan katika ulimwengu wa kiroho,Hii sijui ni tetemeko au ni kitu gani, wataalamu tunaomba mfuatilie na mtupatie majibu, Ardhi inapasuka na nyumba zinabomoka, eneo ni Saku Mwisho Dsm
Mkuu Kuna Uzi wako humu kuhusi mbagala ulijuwa au ni coincidenceMBAGALA the dead city,
Kuhama pekee ndio lilikuwa suluhisho!!
Hilo sijuiKwahiyo wewe unamtetea au...
Kusema yupo bar ni sawa au sio 😂😂😂😂
Mkuu😂😂😂najitoa ufahamu tena!?😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 Nimecheka sana wee jamaa kuna mda unajitoa akili sana
Mlamleni ni kama mwembe mtemvu,nusu Dar Temeke nusu Pwani.Mlamleni mkoa wa pwani, wilaya ya mkuranga, kata ya tambani.
Je Manzese utasemaje?Mbagala kwa walalahoi wanaojipapatua .,Yani huko mbagala kuna kila aina ya vurugu. Utakutana na supu ya ngozi,utumbo wa kuku,supu ya kichwa cha kuku na miguu yake.
Nimeishi mbagala kibonde maji,kongowe,
IPO video U-Tube UNYAKUO TV isemayo Mbagala mji wa wafu- Nabii Boniface Victor miezi 8 iliyopita.Mkuu Kuna Uzi wako humu kuhusi mbagala ulijuwa au ni coincidence
Saku frem kibao zimelala yoo pale pazito hapana Nuru nilikaa Mwezi nikakimbia!Kuna Uzi humu JF unasema eneo la saku, majimatitu huu mji umejengwa juu ya makaburi ya watu flan katika ulimwengu wa kiroho,
Unasema maeneo hayo hakuna ustawi wa binadamu zaidi ya uharibifu, anaenda mbele zaidi anasema hakuna biashara inaazishwa isifilisike
Labda Mungu aliye mkuu ameamua kuingilia kati
HapanaKumbe wewe wa Kinyerezi?
Msasani gani lile bonde la mpunga?dar Msasani tu...