Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KFC😋😋 ndio penyewe
4 kwa 5 ipogo kwani 🤣🤣Usinipakazie bana..
Nendeni mkale… mshibe mrudi makwenu kujiegesha kwenye 4 zenu kwa 5 😂😂😂
Mshawahi kuuliwa? 😂😂😂KFC😋😋 ndio penyewe
Si ndio unachomiliki wewe na 911 😛4 kwa 5 ipogo kwani 🤣🤣
Muuwaji mwenyewe ndiyo wewe au??Mshawahi kuuliwa? 😂😂😂
Hatujawahi 😂😂Mshawahi kuuliwa? 😂😂😂
Nitakubonda sanaaaHatujawahi 😂😂
Ndiyo 😛😛Muuwaji mwenyewe ndiyo wewe au??
Sababu ya mauji ni nini sasa... Mdaiwa sii mwizi...Ndiyo 😛😛
Surekuna wakati ili mambo yako yaende unahitaji kuwa na roho mbaya na mpumbavu zaidi ya wapumbavu.
Inapendeza sana watu fulani wakikuona una roho mbaya huku mwenyewe ukijua una roho nzuri sana ila hupendi upumbavu.
Binafsi sisamehe deni kwaninaye mdae, hapa nakuwa zaidi ya katiri na nikikushindwa basi tambua nikifa utadaiwa na hilo deni nasign halisameheki kwenye mavitabu yangu, ukifa nitadai siku ya mazishi yako na ndugu zako watalipa hata kama litawafilisi.