Mpemba Effect iliyozaliwa Tanzania na kuhamia ughaibuni!

Umetupa elimu kubwa sana.
Jamaa ni genius sana ...alikuwa akienda mpirani jioni anaweka maziwa kwenye fridge na wenzake lakini wenzake walikuwa hawachemshi yeye anayachemsha sasa ilikuwa kila wakirud anakuta yake yamagata ya wengine bado ...ndio research ikaanzia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…