Halafu mzuuuuuurii mwenyewe. Haki pambana tu mpaka kielewekeIf she tells me ni hold her hand I do it, and namu embrace zaidi ya ki foolish 🤓.
She is hot and bright bhana, ni vile tu ana ni igizia. Eti she don't give a shit😁
Dogo kapigwa na kitu kizito🤣🤓, kaandika nyuzi 2 kwa mpigo.Nilikuambia 😂 ona sasa comment imefanywa uzi
Brock Lesnar una mjua?? 🤓Halafu mzuuuuuurii mwenyewe. Haki pambana tu mpaka kieleweke
Naachaje kumjua kwa mfano😂😂😂Brock Lesnar una mjua?? 🤓
Kataa ndoa leo limejisahau. Au macho yangu?If she tells me ni hold her hand I do it, and namu embrace zaidi ya ki foolish 🤓.
She is hot and bright bhana, ni vile tu ana ni igizia. Eti she don't give a shit😁
Ile character yake ya kuto socialize na vitu Sana, ndo Kama yangu.Naachaje kumjua kwa mfano😂😂😂
Kaka twende Kwenye alizeti bhana😂🤣Kataa ndoa leo limejisahau. Au macho yangu?
Sema huyo jamaa kuna wakati kama akili huwa zinaruka😂😂😂ile kipindi alikuwa anajisahau anamgeuka hadi Paul heyman.Ile character yake ya kuto socialize na vitu Sana, ndo Kama yangu.
Acha tuone😂🤓, Niki choka nta kwambia ma favorite rival uka nipigiee penalty🤓
Hahahahaha..mambo kama haya ndio yananipa tabasamu humu..pambana huyo ni wako MkuuWe are close friends, na ana jua Hilo. Sema ana hisi Mimi ni mtu mwingine Humu.
Na ile story ndo ili nirudisha kilometer 100 nyuma, though I feel ali jua shida ni nini 😁
Pambania unachokiamini, watunze unaowapenda,waheshimu wanaokupenda, mshike anayekushika, mpende anae kupenda, usipoteze mda kwa asiye na mda na wewe, life is too short!
Ukimpata anae kupenda mpende zaidi
Hahahahaha..kapenda sipo..duhPole kwa kumpenda asiyekupenda
Mstari wa mwisho umebeba maana nzitoNamsubiria "T" napenda kumuita vibrant akomenti!!
watu hawapo serious na mahusiano mkuu!!
Akikuweka friend zone usimuweke love zone utaumia !!
Hamna Paul Heyman miyeyusho🤓, Paul Ali msaliti aka enda kwa roman.Sema huyo jamaa kuna wakati kama akili huwa zinaruka😂😂😂ile kipindi alikuwa anajisahau anamgeuka hadi Paul heyman.
Wewe usijali tutafunga hata goli la mkono
Hahahaha, slow motion mkuu, Kuna vitu muhinu vya kupambania.Hahahahaha..mambo kama haya ndio yananipa tabasamu humu..pambana huyo ni wako Mkuu
Hivyo ulivyofundishwa jifunzeHahahaha, slow motion mkuu, Kuna vitu muhinu vya kupambania.
Kuna kipindi nili pata rafiki mwalimu kutoka Kenya, yule Jamaa ali nifundisha vitu vikubwa sana.
Hata kabla hajaenda kwa roman bhana. Alikuwa anamzingua baadaye akili zikirudi anaacha😂😂Hamna Paul Heyman miyeyusho🤓, Paul Ali msaliti aka enda kwa roman.
Dah nime cheka hapo Kwenye bao la mkono🤓😂