Mpende anayekupenda, asiyekupenda achana naye

Mpende anayekupenda, asiyekupenda achana naye

Hahahaha..jambo gani na ni watu gani hao wawili ,mkuu
Ni ile issue niliyo kuambia ya match yenye wachezaji wengi.

Wame nipa nafasi niwa ongoze, Wana ki potential area, Sasa kina harufu ya wateja kufika.
Wakisema waki pangishe, ni Kama kusaidia watu tu.

Ila kuuza angalau chenchi ya maana Ina fika, na itasaidia wao ku push mambo mengine.
Mimi nakaa nawaza je niwape go ahead, au ndo nawazika.
 
Ni ile issue niliyo kuambia ya match yenye wachezaji wengi.

Wame nipa nafasi niwa ongoze, Wana ki potential area, Sasa kina harufu ya wateja kufika.
Wakisema waki pangishe, ni Kama kusaidia watu tu.

Ila kuuza angalau chenchi ya maana Ina fika, na itasaidia wao ku push mambo mengine.
Mimi nakaa nawaza je niwape go ahead, au ndo nawazika.
Wewe kwa upande wako unaamuaje
 
Wewe kwa upande wako unaamuaje
Nime shuhudia umiliki wao una leta shida Sana, hata mmoja Kati yao nusura arudishe chenchi Mwaka Jana.

Ndugu wa mzee wao ni Kama Wana litamani, na Hawa wapi baadhi ya ushirikiano kwenye masuala baadhi.

Nime washauri go ahead, kama unaweza wa boost kwenye maisha yao, kuliko kushikilia kitu chenye kukupotezea muda na afya.
 
Pambania unachokiamini, watunze unaowapenda,waheshimu wanaokupenda, mshike anayekushika, mpende anae kupenda, usipoteze mda kwa asiye na mda na wewe, life is too short!
Ukimpata anae kupenda mpende zaidi
Umechelewa sana kufaham hilo..wengne tumeenda mbal zaid tunafanya hiv hata kwa ndugu[emoji16]
 
Kwenye mapenzi ata utende mazuri kiasi gani kuachwa kuko pale pale
😁😁
Kuachwa na mtu unaempenda inauma kweli na inaleta stress unaweza kujikuta unapiga pasi nguo kabati zima, na ukimaliza nguo zote unakuja kugundua kumbe hata hukuchomeka waya wa pasi kwenye swichi ya umeme.
Mapenzi haya😎😎😎
Cc: Depal Intelligent businessman
Hasa pale unapotaka kwenda next stage ya utambulisho halafu anagoma!anasema Bado yupo yupo kwanza !wakati wewe unataka jiko ndani sio!!!?
 
Back
Top Bottom