Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sasa ndio naamka ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha..jambo gani na ni watu gani hao wawili ,mkuuMkubwa naomba niku ulize Jambo kidogo, kwa niaba ya watu 2.
Ni ile issue niliyo kuambia ya match yenye wachezaji wengi.Hahahaha..jambo gani na ni watu gani hao wawili ,mkuu
Wewe kwa upande wako unaamuajeNi ile issue niliyo kuambia ya match yenye wachezaji wengi.
Wame nipa nafasi niwa ongoze, Wana ki potential area, Sasa kina harufu ya wateja kufika.
Wakisema waki pangishe, ni Kama kusaidia watu tu.
Ila kuuza angalau chenchi ya maana Ina fika, na itasaidia wao ku push mambo mengine.
Mimi nakaa nawaza je niwape go ahead, au ndo nawazika.
Duuu dau limeshuka kiasi hicho😁 from 30k to 3k🤔Buku 3 Ali taka ku trend tu🤓🤣, ili kuharibu Mimi na Yule aliye kufata pm siku ile😁
Nime shuhudia umiliki wao una leta shida Sana, hata mmoja Kati yao nusura arudishe chenchi Mwaka Jana.Wewe kwa upande wako unaamuaje
Inasikitisha kwa kweliHapa mmeniacha wakuu
Umechelewa sana kufaham hilo..wengne tumeenda mbal zaid tunafanya hiv hata kwa ndugu[emoji16]Pambania unachokiamini, watunze unaowapenda,waheshimu wanaokupenda, mshike anayekushika, mpende anae kupenda, usipoteze mda kwa asiye na mda na wewe, life is too short!
Ukimpata anae kupenda mpende zaidi
Tutawasisitizia wana na wana wa wana wetu.😉Pambania unachokiamini, watunze unaowapenda,waheshimu wanaokupenda, mshike anayekushika, mpende anae kupenda, usipoteze mda kwa asiye na mda na wewe, life is too short!
Ukimpata anae kupenda mpende zaidi
Naam ni uwezo wako kijana😂🤓, spending money Kama upepo sio jadi yangu.Duuu dau limeshuka kiasi hicho😁 from 30k to 3k🤔
Hasa pale unapotaka kwenda next stage ya utambulisho halafu anagoma!anasema Bado yupo yupo kwanza !wakati wewe unataka jiko ndani sio!!!?Kwenye mapenzi ata utende mazuri kiasi gani kuachwa kuko pale pale
😁😁
Kuachwa na mtu unaempenda inauma kweli na inaleta stress unaweza kujikuta unapiga pasi nguo kabati zima, na ukimaliza nguo zote unakuja kugundua kumbe hata hukuchomeka waya wa pasi kwenye swichi ya umeme.
Mapenzi haya😎😎😎
Cc: Depal Intelligent businessman
Lifatalo hapo ni mkopoNaam ni uwezo wako kijana😂🤓, spending money Kama upepo sio jadi yangu.
Kaka sipendi kukopa🤓, labda kwa ajili ya biashara aua Jambo muhimu tu.Lifatalo hapo ni mkopo
Sawa kaka, najifunza mengi kwako.Kaka sipendi kukopa🤓, labda kwa ajili ya biashara aua Jambo muhimu tu.
Dah kweli mwanangu, wali imba wale kina mama 😀Heading ni chorus ya taarabu
Mkuu hata sijui nisemajeMkubwa Tresor Mandala nasubiri jibu lako mkuu.
Basi mkuu, usiwazeMkuu hata sijui nisemaje