Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Kuhamia dodoma haikufikiriwa kiuchumi labda tu Kwa ajili ya kutakasishia Kodi zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wao wenyewe wamejichelewesha, mpaka sasa hawana hata kiwanja tu cha kujenga kiofisi cha makao makuu ya chama! Kama huko siyo kujichelewesha ni nini 🤷🏾♂️Wapinzani wametuchelewesha sana.
😂😂Wala hakuna mtu atakusikiliza ww na ombi lako. Pambana na hali yako. Naona unamwita baba yako. Na kura ulimpigia. Sasa hivi kipaumbele ni Chato tu. Wengine mkafilie mbali. Mitano au miishirini kabisaaaa
Kwni Juma Aweso hajamtua mama ndoo kichwani?My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu). Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets. Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya. Please visit in person and act
Kabisa! Lazima atakuwa ametumwa na mabeberu. Wapinzani ndio waliotuchelewesha. "Nileteeni Gwajimaaaaa""Mnatumiwa na wanasiasa wa upinzani, vibaraka wa mabeberu"
Mimi siko Dom,lkn hata huku mkoani(Dar) maji ni tabu hivyo hivyo sijui ni nini.
Hata wao wenyewe wamejichelewesha, mpaka sasa hawana hata kiwanja tu cha kujenga kiofisi cha makao makuu ya chama! Kama huko siyo kujichelewesha ni nini [emoji2377]
Huyu Awesu amekazana kutumbua tu anasahau kuwa maji hakuna!My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu). Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets. Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya. Please visit in person and act
Rais wa chato na ikulu ipo huko chato dodoma mtasubiri sana.My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act