Mkuu uhaba wa maji wanaujua sana Kwa vile wao hawana shida wanapata maji masaa 24 ndio maana wapo kimyaKwanini msimwmbie waziri wa maji
Hapo dodoma si kuna mkuu wa mkoa
Kuna mbunge .....
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kipaumbele ni kuijenga Chato, mengine yasubiri kwanza au nasema uongo ndugu zangu?Kesho kutwa atakuwa anazindua ule mradi mkubwa wa maji ya ziwa Victoria pale Tabora mjini.
Haya maji yakifika Dom itakuwa kitu kikubwa sana.
Shida ya nchi hii ni viongozi kujifanya hawajua vipaumbele vya watu wao.
Ni trillion moja tu inabadili historia yote ya shida ya maji Dodoma.
Swadaktaaa!!!!as long as maji yanapatikana hapa CHATO..nyinyi huko DOM pambaneni na hali zenu
Nimeipenda hii.Bila shaka utakuwa mpinzani wewe ccm huwa atulalamiki
Labda uhaba/shida ya maji inatokana na niniMkuu uhaba wa maji wanaujua sana Kwa vile wao hawana shida wanapata maji masaa 24 ndio maana wapo kimya
Wanawatumiaje,kuzuia maji au?."Mnatumiwa na wanasiasa wa upinzani, vibaraka wa mabeberu"
Umepata kibali cha TCRA kuleta hii complain kwenye social media?My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Kingeni maji ya mvuaMy President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Naona kwa sababu mzee baba hayuko domMkuu uhaba wa maji wanaujua sana Kwa vile wao hawana shida wanapata maji masaa 24 ndio maana wapo kimya
Sio mbaya na wewe umechangiaKingeni maji ya mvua
Itakuwa matumizi yameongezeka sana, wamejaribu kutoa sababu naona sasa wameamua kunyamaza kimya, niseme ukweli mimi eneo letu tunapata maji kila siku kuanzia saa moja asubuhi hadi saa tisa au kumi jioni tena ni mengi tu ingawa miaka ya nyuma ilikuwa kama hao jamaa wanaolalamika, hata nikiletewa taarifa ya kukatika yanaweza yasikatike, pia nimejipanga hata yakatike wiki nakuwa na akiba ya kutosha.Labda uhaba/shida ya maji inatokana na nini
Je walitangaza kuwa kutakuwa na uhaba wa maji?au uko kimya kimya
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app