Mpenzi alivyoliwa huku namsubiri

Mungu Apitishe Hili Mbali Nami......Lakini Najiuliza Mwenyewe Hapa Hivi Mpenzi Wangu Aweza Nifanyia Hivi Kweli?

Maana Shida Inaanza Kwenye Kuchagua Nani Unakabidhi Moyo Awe Sweetie Wako

Ukikosea Hapo Ya Mleta Mada Yaweza Kukuhusu Hajar
Kweli kabisa aepushe tu kwa kweli.

Na kweli hapo kwenye kuchagua wa kumkabidhi moyo ndio penye shida maana ukishakosea tu basi lazima uwe mtihani.
 
Na kweli hapo kwenye kuchagua wa kumkabidhi moyo ndio penye shida maana ukishakosea tu basi lazima uwe mtihani.
Na watu wengi wanaanza kuanguka kutokea hpo kwenye kuchagua, mwingine anapomtamani mwanamke basi hazingatii tena vigezo wala masharti
 
Man you are so stupid. Ulimpelekaje kwa ex wake...? Ulitarajia nn?
Alaf mwanamke anakuja kukwambia wazi wazi kuwa alitiwa na ww unamchekea.. realy nigga.

Grow up. Real man hawafanyi huo ujinga. Kwan mngempotezea huyo ex nn kingetokea? Be a man
This time men are few nigaa
 
Guna tu Ndugu yangu.

Hahaaa. Unamuachaje wakati umempeleka sasa?
sasa mkuu utabebana na mtu wakati bado hajaogaπŸ™‚mad:😑😑😑😑) daladala ingekuwa saizi yake tu
 
Hahaaaaa. Si ndio uluyoyataka sasa sababu kumpeleka tu inaonyesha ulikuwa tayari kwa lolote.
HA HA HA HA HAAAAAAAAAAAAA
HAPANA KABISAAA SIO KWA HILO LILILOTOKEAAAπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ulifanya la mbolea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…