Kweli kabisa aepushe tu kwa kweli.Mungu Apitishe Hili Mbali Nami......Lakini Najiuliza Mwenyewe Hapa Hivi Mpenzi Wangu Aweza Nifanyia Hivi Kweli?
Maana Shida Inaanza Kwenye Kuchagua Nani Unakabidhi Moyo Awe Sweetie Wako
Ukikosea Hapo Ya Mleta Mada Yaweza Kukuhusu Hajar
Na ndio inayomfaa hiyo.Dah! ama kweli pole yake aiseeπππ
Na watu wengi wanaanza kuanguka kutokea hpo kwenye kuchagua, mwingine anapomtamani mwanamke basi hazingatii tena vigezo wala mashartiNa kweli hapo kwenye kuchagua wa kumkabidhi moyo ndio penye shida maana ukishakosea tu basi lazima uwe mtihani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli wewe ni mpenzi msindikizaji..
[emoji23] [emoji23]Umekosea na ww ungeenda akutie ili muwe ngoma droo na mpenz wako
This time men are few nigaaMan you are so stupid. Ulimpelekaje kwa ex wake...? Ulitarajia nn?
Alaf mwanamke anakuja kukwambia wazi wazi kuwa alitiwa na ww unamchekea.. realy nigga.
Grow up. Real man hawafanyi huo ujinga. Kwan mngempotezea huyo ex nn kingetokea? Be a man
ndiyo ukweli wenyeweEenh
Sema kweli
sasa mkuu utabebana na mtu wakati bado hajaogaπmad:π‘π‘π‘π‘) daladala ingekuwa saizi yake tuGuna tu Ndugu yangu.
Hahaaa. Unamuachaje wakati umempeleka sasa?
Hahaaaaa. Si ndio uluyoyataka sasa sababu kumpeleka tu inaonyesha ulikuwa tayari kwa lolote.sasa mkuu utabebana na mtu wakati bado hajaogaπmad:π‘π‘π‘π‘) daladala ingekuwa saizi yake tu
HA HA HA HA HAAAAAAAAAAAAAHahaaaaa. Si ndio uluyoyataka sasa sababu kumpeleka tu inaonyesha ulikuwa tayari kwa lolote.
Ulifanya la mboleaSimlaum mleta mada ila nyie wanawake hamfai,
Kuna x wangu mmoja cku akiwashwa alkua akiletwa na jamaa yake na gari anasingizia anakuja kumsalimia rafki yake ambae tulikua tumepanga nyumba moja, na jaama ake alkua anapenda sana pombe akimleta anaingia anatoa salam huyoo anawah grosary jiran kula pombe sisi huku tunafanya yetu, siku cjui alkua anahis kaaga vizuri km kawaida mara ghafla karudi namuona yule anakuja na anatuona ila demu alkua hajamuona maana tulikua tunataniana mlango kwangu, nilimnasa kibao cha maana na mateke juu ile x anataka kuuliza nampigia nn jamaa keshafika kanisukuma hd chini kuuliza kulikoni nkasema namdai laki 6 yangu alkopa kipindi anakaa na rafiki ake hapa af kanikimbia leo ndio nmemkamata, nikaingia ndani nkatoka na sime, jamaa kuona vile akasema ngoja nkalete hy ela akataka kuondoka na dem kwenda atm nkagoma na mikwara kibao, jamaa kawasha gari kwenda atm na ilkua mbali kdg tukaingia ndani tukafanya yetu, kaleta laki 6 nkaweka mfukon.
Hahahaaaa. Lol.HA HA HA HA HAAAAAAAAAAAAA
HAPANA KABISAAA SIO KWA HILO LILILOTOKEAAAππππππ
Muda wa Kazi huu.