Mpenzi alivyoliwa huku namsubiri

Hahaaa. Mie naona wala asiumie sababu kayataka mwenyewe.

Anakubalije watu waliokuwa wapenzi wakapeane makavu chumbani si vituko hivyo.
Walikua nje ndio wakati wanatifuana wakaingia hadi ndani.
 
Bro nahisi kama hauko serious vile. Ila tunatofautiana sana aisee.
 
Man you are so stupid. Ulimpelekaje kwa ex wake...? Ulitarajia nn?
Alaf mwanamke anakuja kukwambia wazi wazi kuwa alitiwa na ww unamchekea.. realy nigga.

Grow up. Real man hawafanyi huo ujinga. Kwan mngempotezea huyo ex nn kingetokea? Be a man
Swai fikirish huyo mdada kwanin hakubadili namba ?tuanzie hapo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unapata nguvu gani ya kumsindikiza mpenzi wako kwa ex wake eti akampe makavu makavu yapi kuna wanaume wapole sijui kama mleta mada yaani hata sijui nimuweke kundi gani
Tucheke ndugu yangu maana dunia haijawahi kuisha vituko.

Na weza kuta alivyotaka kutoka na busu alipewa la kuondokea. Huku zoba kabaki kwenye gari anapigwa na jua. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Vipi bili ya uber haikua kubwa sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…