Usinirudishie maumivuUnatamani umtie masinki kabisa😀😀😀
Najiuliza hiyo sinema aliyochezewa hapo ilikuaje? Yaani watu wanazozana nje kwa sauti halafu wanaingia ndani sauti zinapotea
Wee mpenzi msikilizaji upo tu umebung'aa au ulikua unasubiri upate ushahidi kua kweli jamaa anamkula demu
Tena wasema ulienda na gari pengine wakati mchezo umekolea ukatambulishwa kua ni dereva wa baba au wa ofisini
Halafu yeye anasogea pembeni au anatoka nje ya geto lake anawaacha wapeane makavuYaani kama ni kweli na sio chai Dada basi huyu jamaa huko mbeleni atapata tabu sana.
Maana usije shangaa siku nyingine wakaja peana makavu geto kwake. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maana angebakwa angepiga kelele kutaka msaada lakini yaonekana alikua anatoa ushirikiano wa viuno uliotukukaSio akili ni matope hayoo.
Amejidharaulisha na ndio sababu wakamdharau. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha haha ye mwenyewe alimmisi kapigwa paipu mbele ako duh huyo ana balaaHii siku sitaisahau. Yani mpenzi wangu alikuwa anasumbuliwa sana na x wake eti warudiane. Hii ilimkasirisha sana mpenzi wangu na aliniomba aende akampe makavu x wake. Kwakweli nilimpenda na kumuamini sana huyu msichana kwa misimamo yake. Sasa ikabidi msichana amwambie anamfata na akaniomba nimpeleke. Kweli nilimsindikiza na kufika kwa Jamaa msichana alimuwakia sana. Kwamba hamtaki na amuache hivyo aendelee na maisha yake. Kwakweli ugamvi ulikuwa mkubwa mara wakaingia ndani. Walikaa mda kidogo mimi namsubiri kwenye gari. Baada ya kutoka anakuja huku analia nikamuuliza vipi umepigwa? Akaniambia hapana ila Jamaa kanitia sijui imekuaje paka kanitia tena. Kwakweli nimeumia na haya maumivu ni makuu. Hata sijui nifanyaje.
Mkuu wewe ni hanithi?Hii siku sitaisahau. Yani mpenzi wangu alikuwa anasumbuliwa sana na x wake eti warudiane. Hii ilimkasirisha sana mpenzi wangu na aliniomba aende akampe makavu x wake. Kwakweli nilimpenda na kumuamini sana huyu msichana kwa misimamo yake. Sasa ikabidi msichana amwambie anamfata na akaniomba nimpeleke. Kweli nilimsindikiza na kufika kwa Jamaa msichana alimuwakia sana. Kwamba hamtaki na amuache hivyo aendelee na maisha yake. Kwakweli ugamvi ulikuwa mkubwa mara wakaingia ndani. Walikaa mda kidogo mimi namsubiri kwenye gari. Baada ya kutoka anakuja huku analia nikamuuliza vipi umepigwa? Akaniambia hapana ila Jamaa kanitia sijui imekuaje paka kanitia tena. Kwakweli nimeumia na haya maumivu ni makuu. Hata sijui nifanyaje.