Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
-
- #181
We kiboko...hahahaaDawa ya hao watu ni kuwachunia na wenyew me kuna kaka nae ananiletea mashauzi.ya kujitia yuko busy kuliko shetani nkasema hunijui weweee....wakati kuna wanaume washoka wananitaka nkapiga chini wala sina habari mm....huna habari na mm na mm cna habari na ww vilevile...yan nkikupigia usipokee ckutafuti ng'ooo
am better here
Nimeshaanza rasmiEmbu jifanye na ww huna huo muda wa kumtafuta. Hapo ndio utapata majibu sahihi kama bado anakuhitaji au unapoteza muda.. Acha usumbufu
Bado unaonekana una maumivu moyoni hapa umekuja kujifariji tuu, .... Kiburi hakisaidii kitu ... ... Wanawake mnatabia ya Ku act mko happy ila deep down mnaumia kwa maumivu makaliDawa ya hao watu ni kuwachunia na wenyew me kuna kaka nae ananiletea mashauzi.ya kujitia yuko busy kuliko shetani nkasema hunijui weweee....wakati kuna wanaume washoka wananitaka nkapiga chini wala sina habari mm....huna habari na mm na mm cna habari na ww vilevile...yan nkikupigia usipokee ckutafuti ng'ooo
am better here
Mimi sinaga mda yani wa kumbembeleza mwanaume....hapana sina ukame huo
Mkuu maumivu yanini kwa mfano....cwezagi kumbembeleza mtu ambae hatambui thamani yangu kwake ndomana nikiona mizani inaegemea kwangu kuliko kwa mwenzangu najiwahi mapema...Bado unaonekana una maumivu moyoni hapa umekuja kujifariji tuu, .... Kiburi hakisaidii kitu ... ... Wanawake mnatabia ya Ku act mko happy ila deep down mnaumia kwa maumivu makali
From profile picture to proper future
Ushapata mwingine?Mkuu maumivu yanini kwa mfano....cwezagi kumbembeleza mtu ambae hatambui thamani yangu kwake ndomana nikiona mizani inaegemea kwangu kuliko kwa mwenzangu najiwahi mapema...
am better here
Hahaa it's true aiseMwenzako anawaza hela wewe kutwa kushikilia mapenzi, tafuta kazi ya kufanya Dada !
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hataki kukubali kama hapendwi angalia alivyomjibu PutinHupendwi jiongeze
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwarabu bwanaMapenzi kabla ya kubanduana huwa mtu anakutumia msgs kama anakudai figo, ila akishakubandua zaid ya tatu text ya asubuhi anaweza kukujibu jioni tena baada ya bia kuanza kumchukua
Kumbe upo bize jf.
Lol !!! Kumbe even kuonana bado!?Usiumizwe kichwa kwa mtu ambaye hata hamjawahi kuonana
HahaMapenzi kabla ya kubanduana huwa mtu anakutumia msgs kama anakudai figo, ila akishakubandua zaid ya tatu text ya asubuhi anaweza kukujibu jioni tena baada ya bia kuanza kumchukua
It seems like hajapagawa na wewe ... yaani hauja fit vigezo vyakeSawa.
Kwa kweli its enough.
Ningesema kaja kwa kunichezea but hapana cz hatujawahi kutana..nakosa majibu
Sent using Jamii Forums mobile app