James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Perhaps, kashakufahamu kwa kupitia baadhi ya watu na kupewa wrong Info's abt you hapo anatafuta njia ya kukupiga chini for good. Anaways ni mawazo yangu kulingana na hii reply yako. Pole na kila la kheri na jamaa aliye busy anampita hata yule anayelala na mafaili yeye anapata hata muda wa kuangalia Mpira hahaaaAmenishangaza..yani mnapoanza mahusiano nimezoea mnakua na hamu ya juu kumjua mwenzio..lakini yeye yuko relaxed..yani kama vile kashamamliza kila kitu
Hata mda wa kuonana hana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemsoma hapo juuLol !!! Kumbe even kuonana bado!?
So aanzaje kuimia moyo dhidi ya mtu kama huyo !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ukweli mchunguu...!! me kuna mdada kila siku namwambia niko busy ilaa Hakuna mwanaume aliekuwa busy kwa Mwanamke anaempenda kweliii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hayupoo na haji kutokeaa milele...
Mkuu mtoa mada ni manzi ujueWatu wanaharibu sio kazi tu bali hata kuua kisa mapenzi mkuu. Huyo manzi hakupendi okoa muda wako utuepushe na sisi kukuchangia maana inaonekana unampendq mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachonishangaza ni kicho mwanaume hajawahi kumuona hata ukucha jambo la kumshukuru mungu kaonesha tabia yake mapema.Nimemsoma hapo juu
Hivi ulifuta nn lakini, halafu sisi wanawake tupo tofauti sana ningekuwa mm unamtafuta hakujibu woiiii na mm ningekaa kimya najua ningekuwa naumia sana lakini ningejikaza tu mwisho wa siku unamsahau maisha yanaendelea.Kinachonishangaza ni kicho mwanaume hajawahi kumuona hata ukucha jambo la kumshukuru mungu kaonesha tabia yake mapema.
"HAKUPENDI KAMA UNAVYOMPENDA"Kuna mambo mawili, kwanza, hakupendi kama unavyompenda au ambavyo unatamani akupende. Pili, unamsumbua mara kwa mara. Unajua wakati mwingine wanaume hatupendi usumbufu mwingi hasa tunapokua kwenye mambo mengine yanayohitaji umakini au utulivu, japo haiwi bize kiasi cha hata kutoa salam au kumjulia hali mtu unayempenda.
Nahitimisha jambo moja tu, HAKUPENDI.
Nilifuta nilikosea kuandika,akubali ukweli jamaa hamuhitaji sio lazima amwambie sikutaki.Hivi ulifuta nn lakini, halafu sisi wanawake tupo tofauti sana ningekuwa mm unamtafuta hakujibu woiiii na mm ningekaa kimya najua ningekuwa naumia sana lakini ningejikaza tu mwisho wa siku unamsahau maisha yanaendelea.
Mtu akiwa hakupendi unajua jamani yaani unajua kwa vituko tu.
Kikubwa hataki kukubaliana na ukweli na hiki kitazidi kumuumizaNilifuta nilikosea kuandika,akubali ukweli jamaa hamuhitaji sio lazima amwambie sikutaki.
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Hahahahamissed call moja inatosha kwan ana figo yako?
Nahis nmeeleza vzur lakn pia sion haja ya kulazimisha mapenz kwa mtu asokuwa na mda na ww inaezekana ana mtu wake ko anakosa nafas ya kukutafta au kaoa kabisa anyway kwa sababu unataka atamke yeye endelea kusubir na atabadilika mrejesho n muhimu piaMi siwezi kurupuka kufanya maamuzi.sababu nna nia ya kweli.
Sasa nkimbana aseme anadai bado ana nia
Mi aniambie tu kama hana nia.nasepa
Hapana shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Nah usifikilie hivyo Agy....just beliv "wewe ni mzuri, tena sana" so just relax utapata fungu lako dada.