James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Perhaps, kashakufahamu kwa kupitia baadhi ya watu na kupewa wrong Info's abt you hapo anatafuta njia ya kukupiga chini for good. Anaways ni mawazo yangu kulingana na hii reply yako. Pole na kila la kheri na jamaa aliye busy anampita hata yule anayelala na mafaili yeye anapata hata muda wa kuangalia Mpira hahaaaAmenishangaza..yani mnapoanza mahusiano nimezoea mnakua na hamu ya juu kumjua mwenzio..lakini yeye yuko relaxed..yani kama vile kashamamliza kila kitu
Hata mda wa kuonana hana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo