Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Amenishangaza..yani mnapoanza mahusiano nimezoea mnakua na hamu ya juu kumjua mwenzio..lakini yeye yuko relaxed..yani kama vile kashamamliza kila kitu
Hata mda wa kuonana hana

Sent using Jamii Forums mobile app
Perhaps, kashakufahamu kwa kupitia baadhi ya watu na kupewa wrong Info's abt you hapo anatafuta njia ya kukupiga chini for good. Anaways ni mawazo yangu kulingana na hii reply yako. Pole na kila la kheri na jamaa aliye busy anampita hata yule anayelala na mafaili yeye anapata hata muda wa kuangalia Mpira hahaaa

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Wakati mwingine utoto husababisha ama kuleta mateso kama hayo. Ukweli ukiwa na mpenzi ambaye hatambui thamani ya penzi lake, mpenzi ambaye bado ana mawazo ya kitoto kitoto, lazima vitu kama hivyo utavipata hata kama hutaki.
 
Kinachonishangaza ni kicho mwanaume hajawahi kumuona hata ukucha jambo la kumshukuru mungu kaonesha tabia yake mapema.
Hivi ulifuta nn lakini, halafu sisi wanawake tupo tofauti sana ningekuwa mm unamtafuta hakujibu woiiii na mm ningekaa kimya najua ningekuwa naumia sana lakini ningejikaza tu mwisho wa siku unamsahau maisha yanaendelea.

Mtu akiwa hakupendi unajua jamani yaani unajua kwa vituko tu.
 
Kuna mambo mawili, kwanza, hakupendi kama unavyompenda au ambavyo unatamani akupende. Pili, unamsumbua mara kwa mara. Unajua wakati mwingine wanaume hatupendi usumbufu mwingi hasa tunapokua kwenye mambo mengine yanayohitaji umakini au utulivu, japo haiwi bize kiasi cha hata kutoa salam au kumjulia hali mtu unayempenda.

Nahitimisha jambo moja tu, HAKUPENDI.
"HAKUPENDI KAMA UNAVYOMPENDA"
Let me keep it in my mind!
 
Hivi ulifuta nn lakini, halafu sisi wanawake tupo tofauti sana ningekuwa mm unamtafuta hakujibu woiiii na mm ningekaa kimya najua ningekuwa naumia sana lakini ningejikaza tu mwisho wa siku unamsahau maisha yanaendelea.

Mtu akiwa hakupendi unajua jamani yaani unajua kwa vituko tu.
Nilifuta nilikosea kuandika,akubali ukweli jamaa hamuhitaji sio lazima amwambie sikutaki.
 
Hakuna maana ya kuwa na mpenzi sasa hapo..
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?

[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
 
Mi siwezi kurupuka kufanya maamuzi.sababu nna nia ya kweli.
Sasa nkimbana aseme anadai bado ana nia
Mi aniambie tu kama hana nia.nasepa
Hapana shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Nahis nmeeleza vzur lakn pia sion haja ya kulazimisha mapenz kwa mtu asokuwa na mda na ww inaezekana ana mtu wake ko anakosa nafas ya kukutafta au kaoa kabisa anyway kwa sababu unataka atamke yeye endelea kusubir na atabadilika mrejesho n muhimu pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom