Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Nashindwa kuelewa, mwanaume unakuwaje busy wakati hujaenda Eden? Yaani kweli jamaa hajala tunda halafu anakuwa busy kiasi hicho?

Au hujamvutia? Yaani first glance na hakutamani hata kuishusha ile ya ndani kweli? Hakika huyo kijana ni mwema sana!!
jamaa itakuwa kapigwa sana kalenda za kupewa kipochi manyoya na still hajapata, ndio maana nae kajiongeza kwa kujikeep busy

thanks to god the almighty
 
Du!! Hii kitu inanitesa sana me mpaka nishatoa na posa na hata mahari tushapanga lakin, huyu dada sasa kila mda yeye hatak pokea sim wala kujibu sms, mpaka unapiga kwa mama ake ndio unaongea naye,

Na ukimuuliza asema yupo busy, na anadai skubizi hapendi tumia smu,,, chakufurahisha hataki nmtumie hata hela za matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
mmekubaliana ndoa lini?

thanks to god the almighty
 
Du!! Hii kitu inanitesa sana me mpaka nishatoa na posa na hata mahari tushapanga lakin, huyu dada sasa kila mda yeye hatak pokea sim wala kujibu sms, mpaka unapiga kwa mama ake ndio unaongea naye,

Na ukimuuliza asema yupo busy, na anadai skubizi hapendi tumia smu,,, chakufurahisha hataki nmtumie hata hela za matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa mahusiano yana visa sana.
Sasa we umeamuaje kuhusu huyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Hauna mpenzi hapo.
Maana hakunaga bize ya namna hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutuchongea tafadhali!!!

Kama mimi kwa mfano, nimelala saa 9 usiku, (ndo ratiba yenyewe hiyo) lakini saa 12 nimeshamka! Hapa hata chai sijanywa halafu nikipotezea SMS zako uniletee nongwa?! Siwezi kulala saa 9 usiku na kuamka saa 12 halafu niishie kuendekeza mapenzi wakati hapo hapo bado unataka kupiga mizinga!!

Ukitaka mapenzi ya Kihindi date na wanafunzi waliomaliza chuo halafu wapo tu home! Hao uta-chat nao hata sms 1000 kwa siku!!
 
mhh pole mdada. hiyo situation napitia sasa ila kwangu mimi ndo ambaye simtafuti mwenzangu. huwa roho inanisuta mwenzio anakutafuta wewe humtafuti wala kumpa attention anayostahili 🙁.
mdau aliyesema hapo juu kwamba jamaa hakupendi yupo sahihi. nikushauri siku muandikie sms moja tu labda "habari mpenzi" halafu si hatakujibu basi ndo iwe kwaheri usimtafute tena.
 
Mimi nilishakua na mtu wa hivi..akijisikia yeye ananitafuta asipojisikia ndo Basi Tena..Nikawa nawaza hivi kweli mtu anakosa kabisa muda wa kunitafuta..Tena makusudi...kufatilia baadae kumbe kuna mambo yanaendelea

Sikutaka kupoteza muda wangu..nilipochanganya na makosa mengine basi niliamua kuondoka,nilimwambia hauji kupata mtu atakaye kupenda km nilivyofanya mimi...hakuamini maana alijua sitaweza kuondoka(weakness yangu Ni kupenda kupita kiasi)
Huyu Mungu alivyo mwema naendelea na maisha yangu miaka inazidi songa

Atakukumbuka baadaye...na muda utakuwa sio rafiki...
Usije thubutu kurudi kwake..mm Ni Bora nibaki single maisha yangu yote kuliko kurudi kwa yule shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa mahusiano yana visa sana.
Sasa we umeamuaje kuhusu huyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yan me ata sijaelewa nn cha kufanya make wazaz naona wanaendelea na harakat za kuandaa mahar na pia kutufungisha ndoa,

Na sijawah lala naye,, yan nmeona kisa chako ikabid npitie maon ya wadau,, tatizo ni kuwa nampenda kweli na nimwaka sasa toka nimpose na sijawahi mcheat wakati me npo chuon na yeye yupo village.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan me ata sijaelewa nn cha kufanya make wazaz naona wanaendelea na harakat za kuandaa mahar na pia kutufungisha ndoa,

Na sijawah lala naye,, yan nmeona kisa chako ikabid npitie maon ya wadau,, tatizo ni kuwa nampenda kweli na nimwaka sasa toka nimpose na sijawahi mcheat wakati me npo chuon na yeye yupo village.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpeleleze..kuna kitu kinaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du!! Hii kitu inanitesa sana me mpaka nishatoa na posa na hata mahari tushapanga lakin, huyu dada sasa kila mda yeye hatak pokea sim wala kujibu sms, mpaka unapiga kwa mama ake ndio unaongea naye,

Na ukimuuliza asema yupo busy, na anadai skubizi hapendi tumia smu,,, chakufurahisha hataki nmtumie hata hela za matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unasubiri nini kuchapa lapaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba unataka ubambikiziwe mimbaa ulee mtoto sio wako ausioo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilishakua na mtu wa hivi..akijisikia yeye ananitafuta asipojisikia ndo Basi Tena..Nikawa nawaza hivi kweli mtu anakosa kabisa muda wa kunitafuta..Tena makusudi...kufatilia baadae kumbe kuna mambo yanaendelea

Sikutaka kupoteza muda wangu..nilipochanganya na makosa mengine basi niliamua kuondoka,nilimwambia hauji kupata mtu atakaye kupenda km nilivyofanya mimi...hakuamini maana alijua sitaweza kuondoka(weakness yangu Ni kupenda kupita kiasi)
Huyu Mungu alivyo mwema naendelea na maisha yangu miaka inazidi songa

Atakukumbuka baadaye...na muda utakuwa sio rafiki...
Usije thubutu kurudi kwake..mm Ni Bora nibaki single maisha yangu yote kuliko kurudi kwa yule shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Anne..kwa kweli huyu nilishaamua kumuacha but anarudi kuomba msamaha...anasisitiza kabisa ni kazi tu.sasa mi nataka anionyeshe hizo kazi na hayo majukumu ambayo hayampi hata dakika kwangu..nikiona sio reasonable nabaki pk angu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mhh pole mdada. hiyo situation napitia sasa ila kwangu mimi ndo ambaye simtafuti mwenzangu. huwa roho inanisuta mwenzio anakutafuta wewe humtafuti wala kumpa attention anayostahili 🙁.
mdau aliyesema hapo juu kwamba jamaa hakupendi yupo sahihi. nikushauri siku muandikie sms moja tu labda "habari mpenzi" halafu si hatakujibu basi ndo iwe kwaheri usimtafute tena.
ASA we kwanini unamfanyia hivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom