Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Kuna kitu ubizze na dharau, hakuna kitu inakera na kutia hasira kama dharau yaani siku 7 bizze simu iko online serious.Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
Hakuna kitu sipendi mtu ani show kama dharau aiseeh' bora afanye vyote lakini siyo hiyo takataka..Kuna kitu ubizze na dharau, hakuna kitu inakera na kutia hasira kama dharau yaani siku 7 bizze simu iko online serious.
Yaani unakuta mtu anafanya dharau ukiuuliza anajitetea kwamba bizze hali ya kuwa ni dharauHakuna kitu sipendi mtu ani show kama dharau aiseeh' bora afanye vyote lakini siyo hiyo takataka..
I promised myself I'll never cry again over him and that's what I am doing!!
I'm training my mind rytna that I'm the best no more tears..!!
Wachumi wana kitu wanakiita "SCALE OF PREFERENCE ". Wanasema hivi mwanadamu kwa kawaida ujitimizia yale mahitaji yenye umuhimu sana kwanza halafu yasiyo na umuhimu sana mwisho.Hivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
umeridhika na hiyo hali??Halafu maumivu yake hayaelezeki..unaweza jikuta uko depressed hivi hivi.
Mwanaume mwingine akikufuata unatamani umwambie uko single...lakini moyoni unaogopa hatia.
Wanajua sana kubembeleza ukiwaambia ukweli yani mpaka unalegea unarudi nyuma.lakini baada ya mda anaendelea vile vile nawe unarudi kulekule...hawa watu ni kiboko
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakusumbua achana nae, hukuumbwa uje uteswe na mapenzi duniani.. Kulikuwa na maisha kabla yake yeye na kuna maisha baada yake yeye pia.
Yangu ni hayo tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina jinsi..ntaondokaKusoma hujui hata picha tu huoni?
Hakutaki, amekuchoka na kila unapomtafuta kwa namna yeyote ile anaona unamsumbua
ha ha ha hii dawa..Hakuna aliekuwa Bizeee ilaa ni ishu ya Priority tuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani wewe unaambiwa nipo busy mwingine anasumbulia kila saaa na huyo huyo jamaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unakuta mtu anafanya dharau ukiuuliza anajitetea kwamba bizze hali ya kuwa ni dharau
Hakuna aliekuwa Bizeee ilaa ni ishu ya Priority tuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani wewe unaambiwa nipo busy mwingine anasumbulia kila saaa na huyo huyo jamaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app