Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Unakuta kimwanamke kisumbufu.umetoka mizungukoni umechoka.Unataka upumzike kanaongea na sim kijijini kwao saa nzima,kila saa kanakuamsha kanakusemesha,kanazima taa kanawasha,kisimu kinakelele kina ita kila saa,maswali ya kijingajinga,kiwashe tv sauti ya juu.Yaani hakana utulivu vurugu akajui kama kuna kuchoka halafu bahati mbaya siku hiyo ujapata mia umetoka kapa...nisamehe mama inanibidi tu nikaushie simu zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
Kuna kitu ubizze na dharau, hakuna kitu inakera na kutia hasira kama dharau yaani siku 7 bizze simu iko online serious.
 
Kuna kitu ubizze na dharau, hakuna kitu inakera na kutia hasira kama dharau yaani siku 7 bizze simu iko online serious.
Hakuna kitu sipendi mtu ani show kama dharau aiseeh' bora afanye vyote lakini siyo hiyo takataka..
I promised myself I'll never cry again over him and that's what I am doing!!
I'm training my mind rytna that I'm the best no more tears..!!
 
Hakuna kitu sipendi mtu ani show kama dharau aiseeh' bora afanye vyote lakini siyo hiyo takataka..
I promised myself I'll never cry again over him and that's what I am doing!!
I'm training my mind rytna that I'm the best no more tears..!!
Yaani unakuta mtu anafanya dharau ukiuuliza anajitetea kwamba bizze hali ya kuwa ni dharau
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Wachumi wana kitu wanakiita "SCALE OF PREFERENCE ". Wanasema hivi mwanadamu kwa kawaida ujitimizia yale mahitaji yenye umuhimu sana kwanza halafu yasiyo na umuhimu sana mwisho.

Halafu wanafalsafa name wanasema hivi "ubusy" ni uongo wa kuhalalisha sababu kwanini hatuvipi vitu/watu fulani KIPAUMBELE.


ukichanganya hizo nadharia mbili nadhani utajua kwanini hupati hata good night text.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu maumivu yake hayaelezeki..unaweza jikuta uko depressed hivi hivi.
Mwanaume mwingine akikufuata unatamani umwambie uko single...lakini moyoni unaogopa hatia.
Wanajua sana kubembeleza ukiwaambia ukweli yani mpaka unalegea unarudi nyuma.lakini baada ya mda anaendelea vile vile nawe unarudi kulekule...hawa watu ni kiboko
Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu maumivu yake hayaelezeki..unaweza jikuta uko depressed hivi hivi.
Mwanaume mwingine akikufuata unatamani umwambie uko single...lakini moyoni unaogopa hatia.
Wanajua sana kubembeleza ukiwaambia ukweli yani mpaka unalegea unarudi nyuma.lakini baada ya mda anaendelea vile vile nawe unarudi kulekule...hawa watu ni kiboko

Sent using Jamii Forums mobile app
umeridhika na hiyo hali??



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamtumia ujumbe WhatsApp asubuhi
Inaonyesha blue tick halafu haujajibiwa mpaka siku mbili
Ina maana kaweza kusoma salam mfano "mambo"
Ila hakua na mda wa kujibu poa...alikua bize..hahahaa
Huu ni ubize??
Yaani unakuta mtu anafanya dharau ukiuuliza anajitetea kwamba bizze hali ya kuwa ni dharau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom