Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
-
- #121
he no longer loves you girlfriend cut off communication with him and maintain your pride..otherwise utapata tabu sana.mtu asiekupenda hajali hisia zako kwa matendo yake tu mbona rahisi kuelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu una moyo mgumu sana Ubarikiwe sina la zaidiUnamtumia ujumbe WhatsApp asubuhi
Inaonyesha blue tick halafu haujajibiwa mpaka siku mbili
Ina maana kaweza kusoma salam mfano "mambo"
Ila hakua na mda wa kujibu poa...alikua bize..hahahaa
Huu ni ubize??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakakufie huko mtseeuuuw zao.!!Yaani unakuta mtu anafanya dharau ukiuuliza anajitetea kwamba bizze hali ya kuwa ni dharau
Mafisaoo, wamejua kutuweza.!!Halafu maumivu yake hayaelezeki..unaweza jikuta uko depressed hivi hivi.
Mwanaume mwingine akikufuata unatamani umwambie uko single...lakini moyoni unaogopa hatia.
Wanajua sana kubembeleza ukiwaambia ukweli yani mpaka unalegea unarudi nyuma.lakini baada ya mda anaendelea vile vile nawe unarudi kulekule...hawa watu ni kiboko
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachumi wana kitu wanakiita "SCALE OF PREFERENCE ". Wanasema hivi mwanadamu kwa kawaida ujitimizia yale mahitaji yenye umuhimu sana kwanza halafu yasiyo na umuhimu sana mwisho.
Halafu wanafalsafa name wanasema hivi "ubusy" ni uongo wa kuhalalisha sababu kwanini hatuvipi vitu/watu fulani KIPAUMBELE.
ukichanganya hizo nadharia mbili nadhani utajua kwanini hupati hata good night text.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee..nauona ukweli sasa..Kwenye hii dunia hakuna aliye bize hata siku moja. Tunatofautiana vipaumbele tuu, kipaumbele kikibadilika, unatafsir ubize kwa mtu
Ahahah!!
Hivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Inakera na kuumiza pia,
Hahahaa nakubali nna moyo mgumu..lohNdugu una moyo mgumu sana Ubarikiwe sina la zaidi
Kote ni hivyo hivyo unayempenda anakuzingua anayekupenda na wewe unamzingua. Hata wewe hapo utakuta kuna mwanaume anakusumbua kinoma ila sms zake hujibu wala simu zake hupokei. Haya mambo hayana formula
Kote ni hivyo hivyo unayempenda anakuzingua anayekupenda na wewe unamzingua. Hata wewe hapo utakuta kuna mwanaume anakusumbua kinoma ila sms zake hujibu wala simu zake hupokei. Haya mambo hayana formula
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mnaangalia upande mmoja, hamjui tu mnavyotupa wakati mgumu unamtongozs mwanamke mpaka maneno yanaisha yoteInakera na kuumiza pia,
Hivi kwani inachukua miaka mingapi mtu kukuambia tu ukweli it's over ukapambane na maumivu yako mbele kwa mbele mpaka akufanyie kwanza visa na kukuumiza bila hatia.!!?