Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kuja kwa kule basi nakungojaAmini Mkuu ndo muujiza,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuja kwa kule basi nakungojaAmini Mkuu ndo muujiza,
Jiongeze dadanguPole sana Anne..kwa kweli huyu nilishaamua kumuacha but anarudi kuomba msamaha...anasisitiza kabisa ni kazi tu.sasa mi nataka anionyeshe hizo kazi na hayo majukumu ambayo hayampi hata dakika kwangu..nikiona sio reasonable nabaki pk angu.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Wasiojulikana"..!!Kuja kwa kule basi nakungoja
Acha hizo basi nawe!!! Yani hadi karne hii unataka tuchumishane majani na kung'ata kucha!"Wasiojulikana"..!!
Sijabahatika hizo tabia, huwa nakodoa macho mpaka unasepa mwenyewe..!!Acha hizo basi nawe!!! Yani hadi karne hii unataka tuchumishane majani na kung'ata kucha!
Heee, basi kwaheriSijabahatika hizo tabia, huwa nakodoa macho mpaka unasepa mwenyewe..!!
Kumbe mkwe nawe ulipopona machungu yako ukaanza ubazazi[emoji134][emoji134][emoji134][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unajua sikuwahi experience ile hali ya kuwa mtu ulimingle nae kama rebound ukaja gundua humpendi halafu yeye kashakolea kwako! I almost feel like shiyt wheneveri see her texts or missed dials!
Kusema tuachane siwezi yani tafrani...ni dodging to kwa kisingizio cha ubize!
Yawezekana unamsumbua sumbua sana nayeye sio mtu wa kupenda kuwasiliana kila muda(sio kila mtu anapenda kugandana gandana)
Au yawezekana pia jamaa hakupendi anatafuta namna ya kukuacha na kachagua a civil way(unaachwa kimya kimya dear)
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua machungu yoyote huwa yanaambatana na funzo!Kumbe mkwe nawe ulipopona machungu yako ukaanza ubazazi[emoji134][emoji134][emoji134]
POLE DADAHivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Alikujibu baada ya masaa mangapi?Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
Hakuna mapenz hapo jipange upyaHivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Nakuona mpenzi unachombezaMmh, mie hata siamini njoo chemba unieleze vizuri!
Thanks.... im just Happy with my lifeHongera mpenzi kwa ujasiri