Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Pole sana Anne..kwa kweli huyu nilishaamua kumuacha but anarudi kuomba msamaha...anasisitiza kabisa ni kazi tu.sasa mi nataka anionyeshe hizo kazi na hayo majukumu ambayo hayampi hata dakika kwangu..nikiona sio reasonable nabaki pk angu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiongeze dadangu
It's better to be alone rather than being with someone who makes u feel lonely

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unajua sikuwahi experience ile hali ya kuwa mtu ulimingle nae kama rebound ukaja gundua humpendi halafu yeye kashakolea kwako! I almost feel like shiyt wheneveri see her texts or missed dials!

Kusema tuachane siwezi yani tafrani...ni dodging to kwa kisingizio cha ubize!
Kumbe mkwe nawe ulipopona machungu yako ukaanza ubazazi[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Yawezekana unamsumbua sumbua sana nayeye sio mtu wa kupenda kuwasiliana kila muda(sio kila mtu anapenda kugandana gandana)
Au yawezekana pia jamaa hakupendi anatafuta namna ya kukuacha na kachagua a civil way(unaachwa kimya kimya dear)

Sent using Jamii Forums mobile app


Nilisema.hili jana ...kuna watu wasimbufi alafu hawajiongez kbs
 
Kumbe mkwe nawe ulipopona machungu yako ukaanza ubazazi[emoji134][emoji134][emoji134]
Unajua machungu yoyote huwa yanaambatana na funzo!
Kiukweli mkweo sasa nimeshakuwa conco acid, nayatazama mapenzi katika dimension tofauti sana na ilivyokuwa awali, inshort nimefuzu Afcon ya mapenzi!
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
POLE DADA
HUYO MWANAUME HAJAKUPENDA KESHAKUBWAGA
ANGALIA USTAARABU MWINGINE TU
AU SIO HONEY? 50thebe
 
Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
Alikujibu baada ya masaa mangapi?

Mmefikia wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Hakuna mapenz hapo jipange upya
 
Not getting a message is also a message.. Hakuna mapenzi hapo just anakutumia kama back up plan au kiburudisho tu ndo maana hajisumbui na ww

ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ
 
Siwezi acha tafuta pesa kisa wewe!!!!

Sent using Uncesored Device
 
Back
Top Bottom