Mpenzi kajilisha nyama ya kitimoto kinyume na Imani

Mpenzi kajilisha nyama ya kitimoto kinyume na Imani

Mkuu siku shauri useme chochote jambo usilo lijuwa ni kama usiku wa giza, usimwamshe alie lala maana utalala wewe. Kosa limesha tendeka ukimwambia sasahivi mtaishia kuleta ugomvi kati yenu ni heri libaki kimya kama lilivyo. Kosa jingine kama hilo ndio mmeona ni kosa tu ndoa mnayo au mna mega tunda kisirisiri kama vile mko sawa? Kama kweli uko na mko serious kuhusu kula kwake kitimoto mwende mkatubu dhambi ya kula tunda gizani na kwa siri kabla halija halalishwa ndio mwongeze na hilo na kiti moto.
👏
 
Mimi
Hebu ngoja kwanza, yaani unahifadhi wese la mdudu!!!

Halafu hilo wese limekarangiza wali, huo wali si utakuwa na ile shombo ya mdudu aisee
Mmi sikuskia shombo kabisa yaan labuda kwa mbali sna
 
Itakuwa wewe ni wale wanaume ambao hawajui kutunza sirii yani kiufupi hufai kuambiwa jambo kama hili tu unashindwa kuliacha lipite
 
Back
Top Bottom