Mkuu siku shauri useme chochote jambo usilo lijuwa ni kama usiku wa giza, usimwamshe alie lala maana utalala wewe. Kosa limesha tendeka ukimwambia sasahivi mtaishia kuleta ugomvi kati yenu ni heri libaki kimya kama lilivyo. Kosa jingine kama hilo ndio mmeona ni kosa tu ndoa mnayo au mna mega tunda kisirisiri kama vile mko sawa? Kama kweli uko na mko serious kuhusu kula kwake kitimoto mwende mkatubu dhambi ya kula tunda gizani na kwa siri kabla halija halalishwa ndio mwongeze na hilo na kiti moto.