Mpenzi, Mume hapo baadaye anahitajika

Mtaani kwenu hakuna wanaume hadi unakuja kusaka wanaume anonymous mrembo.
Au nyie ndo sura ya baba.
 
mawasliano tafadhari
 
Tuma picha kwanza watu wakusaminishe wasije uziwa mbuzi kwenye kiroba.
 
Picha hapana for now, ila kama upo serious tutatumiana tukishafahamiana👏
Kilalakheri dada ukampate mwenye mapenzi ya kweli ili mkaanzishe familia iliyo bora, ila kuwa makini huko inbox mana wahuni ni wengi watakaokuja kwa gia ya ndoa kumbe ni hit and run.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…