Mchungaji naomba uwe wangu wa ubani....natamani niwe mama mchungaji wako!!!:redfaces:
mchungaji naomba niwe wako wa ubani!!we uwe baba mchungaji na mimi mama!!!
Safi sana mkuu,wewe umekamilika kila idara!big up mkuu!!Ubaguzi sina kabisa....kila mtu anahitaji mwenza...hata hao wazeee!!!
Ehhhh mara hii unataka kunitunuku na mchuma!!!Mambo sino hayo sasa!!!:whoo:
Ehhhh mara hii unataka kunitunuku na mchuma!!!Mambo sino hayo sasa!!!:whoo:
Ahaaa, kumbe unapendaga viofa vidogo vidogo.
Stuka hapa mjini ati, hakuna cha mchuma hapo, mdau ana agenda yake binafsi, badala ya kuondoa stress utaishia kulia.
Cha msingi we tulia tu mbona ulishanikubali au "NEC" bado inaendelea na kazi?
AaAAAAAAAAAHHHHH BANAAAAAAAAAHHHKila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!
Tulia wewe! Magari yao ni vitz tu, lakini akitaka prado hakuna shida atapata, Sio viofa ni miofa kibao!
Kuchakachua tena mchungaji?Mpaka tusimame pale mahali!Mahari nikabidhi mimi tu!
Hahahaha!Ulishawahi kusikia mtu anadhani amepata kumbe kapatikana?Ndo hii sasa..akiniingiza mjini ye anajikuta kichakani!Hehe LEC inajitahidi kuchakachua haraka haraka majibu yatoke kabla ya jua kuzama!Ahaaa, kumbe unapendaga viofa vidogo vidogo.
Stuka hapa mjini ati, hakuna cha mchuma hapo, mdau ana agenda yake binafsi, badala ya kuondoa stress utaishia kulia.
Cha msingi we tulia tu mbona ulishanikubali au "NEC" bado inaendelea na kazi?
Kiongozi wangu mbona unakuwa dhaifu kiasi hicho? usimtangulizie mtoto vitz, siku akitaka hummer na ukashindwa kununua ndio umempoteza, utabaki kulalamika. Isitoshe mkuu unatuharibia sie tusio na uwezo wa kununua vitz, huyu hakufai tuachie sisi.