Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina miaka 24, nina degree, ni miss miss. Natafuta mpenz mwenye elimu, mtaarabu, asiwe mnene, awe na mapenzi ya kweli.
ni PM tafadhali.
dah, zali hilo jamani
Tafadhali kwa wanaume kuna watu humu JF Wanajifanya mademu kumbe ni wanaume 100%, naombeni kuweni wagalifu sana mimi yamenitokea humu humu ndani? na ukianza kuchati nao wanakutumia picha za kwenye google.
Dunia, Dahhh. Tumefikia hivyo?? Mbona kazi, mwanaume kweli aku PM kwa kusoma tu vijisentenzi viwili bila hata picha. Sidhani ka Tz tumefikia hapo
Mpenz anapatikana popote, huyohuyo wa mtaani ndo atakuwa jamii forum, kuna mwenye vigezo pia lakin yupo mbali, kwani ni nini maana ya love connect? inakuwaje mtu anatafta mpenz /rafiki af mwingine aanze kumpondea? we should think big sometimes.
Tafadhali kwa wanaume kuna watu humu JF Wanajifanya mademu kumbe ni wanaume 100%, naombeni kuweni wagalifu sana mimi yamenitokea humu humu ndani? na ukianza kuchati nao wanakutumia picha za kwenye google.
Dunia, Dahhh. Tumefikia hivyo?? Mbona kazi, mwanaume kweli aku PM kwa kusoma tu vijisentenzi viwili bila hata picha. Sidhani ka Tz tumefikia hapo