Mpenzi wa rafiki yangu kabanwa na pumu akiwa chumbani kwa jamaa

Mpenzi wa rafiki yangu kabanwa na pumu akiwa chumbani kwa jamaa

Pumu haibani ghafla bin vuu kama tumbo au kichwa
Kuna dalili fulani zikitokea unaweza kujua kwamba sasa nakaribia kubanwa , kwa sisi tunaohangaika na huo ugonjwa toka utotoni huwezi kuacha kuchukua hatua unapoona dalili za mwanzo
Nikweli lakini wakati huyo dada anaenda kwa jamaa ,alienda kama kumsabahi tu ,mwishowe ndo wakafikia huko ,kwahiyo hakujiandaa na lolote nafikir issue za kuvua nguo kwa muda wakati wakiendelea na foreplay ilimfanya apate baridi
 
Niliwahi kukutana na mwanachuo mmoja Dodoma mitaa ya CBE.

Alipokuja hotelini kwangu wakati wa foreplay akijifanya kupandisha mashetani, nikasema hanijui huyu.

Nikasokota ganja mbele yake yeye akiwa kalala kitandani akiongea lugha za kimaruhani ambazo sizielewi. nikala mjani wangu fresh. chumba chote kilijaa moshi wa ganja na harufu yake.

Baada ya dikaka tatu nikaona katulia kimya ananikodolea macho, nikajua mashetani yameshasepa, yasingeweza kustahimili mazingira yale.

Sikumkawiza, fasta nikaanza kumpelekea moto.....sitaki ujinga mimi.
 
Mkuu hivyo vitu vipo kabisa, tatizo sio kuokota okota kama inavyosema, bali ni kuwekana wazi tu na katika mahusiano.

Kwa ushuhuda nimeshawahi kua na mahusiano ma mwanamke mwenye matatizo makubwa ya moyo na nilienjoy maisha mpaka pale aliponiacha.pia hata mwanamke mwenye pumu tena huyu alikua wa moto sana, hadi nikawa tukiwa outings natembea na inhaler.

So kikubwa ni kuwekana wazi mwanzo wa mahusiano itawasaidia sana. Ukisema tuanze kuchunguzana sana itakua ni hatari kwani kuna watu wana changamoto zaidi ya magonjwa, lakini hata wao wanastahili kupendwa na kupenda.
 
niliwahi kukutana na mwanachuo mmoja dodoma mitaa ya CBE.

alipokuja hotelini kwangu wakati wa foreplay akijifanya kupandisha mashetani, nikasema hanijui huyu.

nikasokota ganja mbele yake yeye akiwa kalala kitandani akiongea lugha za kimaruhani ambazo sizielewi. nikala mjani wangu fresh. chumba chote kilijaa moshi wa ganja na harufu yake.

baada ya dikaka tatu nikaona katulia kimya ananikodolea macho, nikajua mashetani yameshasepa, yasingeweza kustahimili mazingira yale.

sikumkawiza, fasta nikaanza kumpelekea moto.....sitaki ujinga mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu wangu wee, mbavu zinauma lol.
 
Ila huu mtindo wa wanachuo kupelekana kufanya mapenzi hostel ni uchafu na upuuzi wa kiwango cha juu, sijawahi kuelewa hawa wanaokubali hili suala wanalichukuliaje.
 
Magonjwa ni sehemu ya maisha ya mwanadamu kijana, ipo siku utajifunza kuhusu mapungufu ya watu wengine...
Thank you, hata kaa siungi mkono kamwe sex before marriage lakini magojwa na mapungufu anayo kila mtu, hakuna asie na upungu wake , hakuna binadamu aliyekamilika
 
nikweli lakini wakati huyo dada anaenda kwa jamaa ,alienda kama kumsabahi tu ,mwishowe ndo wakafikia huko ,kwahiyo hakujiandaa na lolote nafikir issue za kuvua nguo kwa muda wakati wakiendelea na foreplay ilimfanya apate baridi
Mkuu labda huyo dada alipatwa na masahibu mengine , sio pumu!
Athma inakupa nafasi ya kujipanga toka upate dalili kadhaa za kwanza
Mf mie kukiwa na mawingu halafu mvua isinyeshe lazima niondoke hilo eneo la sivyo nitabanwa
 
Iko hivi in relationships, inatakiwa kabla ya yote muwe open kuhusu any health issue ambayo munaweza kuwa nayo, sijui kaa huyu binti alikuwa amemupa taarifa jamaa au nini, your advice ya kutofanya sex before marriage yaonekana wewe mleta mada unaijua tu in theory na sio in practice, bona hukumupa ushauri huo huyu roommate wako, sasa kaa binti angefariki si unaona lawama ingekuwa at some degrees kwako,kwanza ungekataa kumupisa huyu room mate umwambie its not okay what you want to do, its UNBIBILICAL, its SIN,kaa wewe ni mkristo nafikilia unajua ile maadiko whoever saves a soul is wise, next time act in a more mature and wise way, all the best, na musome, sisi wenye makamupuni tunategemea nyinyi tuwape ajira, sasa kaa kazi ni mapenzi mutasoma lini
 
niliwahi kukutana na mwanachuo mmoja dodoma mitaa ya CBE.

alipokuja hotelini kwangu wakati wa foreplay akijifanya kupandisha mashetani, nikasema hanijui huyu.

nikasokota ganja mbele yake yeye akiwa kalala kitandani akiongea lugha za kimaruhani ambazo sizielewi. nikala mjani wangu fresh. chumba chote kilijaa moshi wa ganja na harufu yake.

baada ya dikaka tatu nikaona katulia kimya ananikodolea macho, nikajua mashetani yameshasepa, yasingeweza kustahimili mazingira yale.

sikumkawiza, fasta nikaanza kumpelekea moto.....sitaki ujinga mimi.
kwamba mashetani na ganjaa hazipandii
 
Lodge waweza ita mhudumu akakusaidia bila kukujudge.

Hii ilinikuta niko form three. Binti kapandishia mashetani sebuleni mi nikajifungia chumbani.

Hapo ana sare zake za shule.
ikaishajeee hii case
 
Ila huu mtindo wa wanachuo kupelekana kufanya mapenzi hostel ni uchafu na upuuzi wa kiwango cha juu, sijawahi kuelewa hawa wanaokubali hili suala wanalichukuliaje.
ku save muda, gharama piaa.

ukimpeleka lodge hizo gharama zingetumika kumpozaa huyoo uloenda nae.

vilevile muda na kuchoreshana huko lodge wengine hawapendi.
 
Mkuu labda huyo dada alipatwa na masahibu mengine , sio pumu!
Athma inakupa nafasi ya kujipanga toka upate dalili kadhaa za kwanza
Mf mie kukiwa na mawingu halafu mvua isinyeshe lazima niondoke hilo eneo la sivyo nitabanwa
basi labdaa mdada hakujiandaaa kuliwa akafanya yake makusudi
 
Iko hivi in relationships, inatakiwa kabla ya yote muwe open kuhusu any health issue ambayo munaweza kuwa nayo, sijui kaa huyu binti alikuwa amemupa taarifa jamaa au nini, your advice ya kutofanya sex before marriage yaonekana wewe mleta mada unaijua tu in theory na sio in practice, bona hukumupa ushauri huo huyu roommate wako, sasa kaa binti angefariki si unaona lawama ingekuwa at some degrees kwako,kwanza ungekataa kumupisa huyu room mate umwambie its not okay what you want to do, its UNBIBILICAL, its SIN,kaa wewe ni mkristo nafikilia unajua ile maadiko whoever saves a soul is wise, next time act in a more mature and wise way, all the best, na musome, sisi wenye makamupuni tunategemea nyinyi tuwape ajira, sasa kaa kazi ni mapenzi mutasoma lini
Asante sana kaka nimepata ushauri wako, ubarikiwe
 
Back
Top Bottom