Mpenzi wa rafiki yangu kabanwa na pumu akiwa chumbani kwa jamaa

Mpenzi wa rafiki yangu kabanwa na pumu akiwa chumbani kwa jamaa

Habarini za uzima wakuu, rejeaa mada husika hapo juu.

Kumekuwa na misemo mingi inayozungumzia athari za uzinzi ,mmojawapo ni "uzinzi gharama".

Masaa mawili au chini ya hapo Leo tarehe 30 05 2021, roommate wangu kakoswa koswa na balaa la kufiwa na mtoto wa mwenyewe room kwetu.

Ilikuwa majira ya saa 2 na dakika kadhaaa, roomate wangu akanambia , mzee kuna demu anakuja hapa.

Kama unavojua maisha ya chuo kupigana exile ni normal na uzuri room yetu ni watu 4 lakini wawili hawajaripoti , may be wameenda kukaa off campus hadi kipindi cha UE.

Basi muda umewadia jamaaa Kani alert ,oyaaa yuko nje anakuja ,...... kiroho safi nikatoka zangu huyohuyo mdogo mdogo niwaache na privacy yao.

Natoka nje nakutana na wadada wawili wametoka chukua msosi uswazi juu[emoji16][emoji16] (wanaojua wanajuaa namaanisha chuo gani hapa), wakaagana, mmoja wao akakatisha nlikotoka , mie kumbe nampimia tu anavoingia machinjioni ye asijue.

Huyo dada ni mfupi, kavaa mtandio kama sio ushungi na ni almost 22 hivi , certificate au diploma.

Basi wakati huo wote mie nlikuwa naongea na simu, nikisuruhisha kesi nyingine ya jamaa yangu nae , huyu jamaa yangu nae ni mtu wa mademu sana ,kampa mimba binti wa watu ,then baba wa binti kawaka kinoma. Anyway turud kwenye mada.

Nimekaa nje almost saa hivi nikijuaa jamaa anafanya mashambuliz kama Yale ya Man City dhidi ya Mendy, lakini kumbe hali ikawa ndivyo sivyo.

Nimekaa zangu nje pembeni ya room za majiran zetu nakuta jamaa anatoka na dada wawatu akiwa kichwa kainamia chini, LAKINI mdada anakohoaa [emoji38][emoji38] nkasema kashaliwa huyu tayari ,hapo kapulizia pafyumu ya jamaa hajaiozoea ndomana anakohoaaa ,huku akijipepeaa na kimtandio chake.

Wamekaaa basi nje wakipiga stori then jamaa akanipigia simu, ikaita nikajificha asione kuwa nlikuwa nawachora. Ile napokea simu jamaa anaongea sauti ya mtu mwenye hofu sana hadi nkashtuka then akanambia njoo ruum.

Nkabaki nashangaa njoo ruum mara moja wakat namuona pale basi namie nkaenda room, nakuta kitanda chake kimebonyea ,kikionesha kuna watu walikuwa wamekaa palee, nkacheki chini nakuta mate mate kama ya udende mie nikadhani ni ute ute wa genitals zao , siku mind nkaona anakuja room akiwa katokwa na mishipa na mwekundu usoni sabab jamaa ni mweupe haswa, alichonambia ndo hichi sasa

Based on what jamaa kaniambiaa, [emoji28][emoji28]wakat wanaendela na foreplay wapo na nguo za ndani tu ......... Hamadiii!!!! dada wa watu akaanza kupumuaa kwa shida , kadiri muda unavozidi akawa hawez hata kuongea kiurahisi ......... Jamaa kuona vile akapanic , ikabidi amauulize binti nini shidaa.

Binti anafunguka kuwa anapumu inamsumbuaa, jamaa akamuuliza kama anaweza kumpigia roomate wa huyo binti alete dawa, binti akagoma.

Wakati huo jamaa hapo ,mzigo ushanywea na ameshavaa nguo mapema anataka kukimbiaa, Bahati nzuri akili ikamcheza akamvalisha nguo chap mdada, wakatoka nje [emoji28][emoji28][emoji28] eti wapunge upepo wakat baridi na pumu havipatani.

Akaongeza zaidi kuwa kuna siku amelala naee usiku kucha lakini hakusumbuaa kitu.

My take:
Tuache okota okota watu hovyo, mtu hujajuana nae, hujui afya yake then unakuja kumleta gheto unapatwa na maswahibu kama hayo, Jamaa mwenyewe amesema alikuwa anataka amkimbie dada wa watu atoroke kabisa aniachie msala mie[emoji1][emoji1]

Japo nime participate kwenye kuhalalisha hili lakini sikuwa na namna, jamaa amesema anakomaa na Coursework tu saiv[emoji23][emoji23]

Lastly,tujitahidi tuache UZINZI na UASHERATI, Biblia katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana, maandilko yanasema .... Wazinzi, waabudio sanamu, waongo ..... hawata urithi ufalme wa mbinguni.
Kwaiyo ukaona uje kumuaibisha hapa siyo huyo binti mwenye miaka 22, mfupi, anavaa ushungi? Nauhakika wazazi wake wameshamjua.
 
Kwaiyo ukaona uje kumuaibisha hapa siyo huyo binti mwenye miaka 22, mfupi, anavaa ushungi? Nauhakika wazazi wake wameshamjua.
kaka chuoni kuna wanafunzi wangapi wenye sifa kama hizoo, sio rahici kuweza kujuaa
 
Kwaiyo ukaona uje kumuaibisha hapa siyo huyo binti mwenye miaka 22, mfupi, anavaa ushungi? Nauhakika wazazi wake wameshamjua.
na isitoshe hizo sifa nlizozitoa ni za kubahatisha sio sahihi 100% ,anaweza kuwa ni 21 yrs au kavaaa huo mtandio kujifunika usoni asionekane akiingia room kwa jamaa ,au hapendi kuonesha kuwa hajasuka ,so majibu yako mengiiii
 
Haaaah bila shaka hapo ni vikenge nyuma ya Maria Nyerere ndo napita hapo
IMG_20210531_133753.jpg
 
ni ushirika hapaa ndipo msala ulipotokeaa na sio huko vikenge, anyway twenzetu uswazi chini tukapige vyombo
 
Alafu na hawa askari wetu lazima wangekupiga murder case....
baada ya aka tano ndani ungeambiwa alaa kumbe dem alikuwa na pumu...
bora hakufa usirudie tena
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu sasa hilo shetani liwe la kiume lol. Mbna utahaha kwa hilo varangati lake. Khaaaaah,
Vipi yalikukuta?
dah yalinikuta nilikuwa na dem wanaosoma shule za islamic seminary alafu niwatanga nilikimbia gest kama masaa matatu hv nikarudi nikamkuta amezinduka mwenyw nashukur ilikuw ni mchana nilibidi nimpe nauli arudi shule. siku hy nilijua ndio naenda jela kwakuua yani
ili yy akaniambia hua inamtokea hali hy akiwa shule wanamuombe anakuwa kawaida.
toka siku hy nilikuwa naogopa sn papuchi za madem wanao vaa shungi.
 
na isitoshe hizo sifa nlizozitoa ni za kubahatisha sio sahihi 100% ,anaweza kuwa ni 21 yrs au kavaaa huo mtandio kujifunika usoni asionekane akiingia room kwa jamaa ,au hapendi kuonesha kuwa hajasuka ,so majibu yako mengiiii
Na kwa mujib wa hint zako inajulikana ni mzumbe
 
Mkuu hivyo vitu vipo kabisa, tatizo sio kuokota okota kama inavyosema, bali ni kuwekana wazi tu na katika mahusiano.

Kwa ushuhuda nimeshawahi kua na mahusiano ma mwanamke mwenye matatizo makubwa ya moyo na nilienjoy maisha mpaka pale aliponiacha.pia hata mwanamke mwenye pumu tena huyu alikua wa moto sana, hadi nikawa tukiwa outings natembea na inhaler.

So kikubwa ni kuwekana wazi mwanzo wa mahusiano itawasaidia sana. Ukisema tuanze kuchunguzana sana itakua ni hatari kwani kuna watu wana changamoto zaidi ya magonjwa, lakini hata wao wanastahili kupendwa na kupenda.
Naomba kuuliza hv kuna mwanamke ambae yuko timilifu kiafya angalau kwa asilimia 90?? Mana unakuta unadeti na huyu ana pumu,yule ana malaria sugu,mwngne ana maumiv ya kichwa yasiyokoma, mwngne kila sku anaumwa tumbo, mwngne mara hedhi inaanza katkat ya mzunguko,mwngne cjui moyo unadundia pembeni yan tafrani. Yan ukiamka asbuh ukimtumia sms "vp umeamkaje" lazma atakuambia kuna ktu kinamuuma. Hv kuna mwanamke mzma angalau kwa 90%?
 
Iko hivi in relationships, inatakiwa kabla ya yote muwe open kuhusu any health issue ambayo munaweza kuwa nayo, sijui kaa huyu binti alikuwa amemupa taarifa jamaa au nini, your advice ya kutofanya sex before marriage yaonekana wewe mleta mada unaijua tu in theory na sio in practice, bona hukumupa ushauri huo huyu roommate wako, sasa kaa binti angefariki si unaona lawama ingekuwa at some degrees kwako,kwanza ungekataa kumupisa huyu room mate umwambie its not okay what you want to do, its UNBIBILICAL, its SIN,kaa wewe ni mkristo nafikilia unajua ile maadiko whoever saves a soul is wise, next time act in a more mature and wise way, all the best, na musome, sisi wenye makamupuni tunategemea nyinyi tuwape ajira, sasa kaa kazi ni mapenzi mutasoma lini
Mm nishasoma nikagraduate.naomba kazi kwa kampun yako
 
Mkuu hivyo vitu vipo kabisa, tatizo sio kuokota okota kama inavyosema, bali ni kuwekana wazi tu na katika mahusiano.

Kwa ushuhuda nimeshawahi kua na mahusiano ma mwanamke mwenye matatizo makubwa ya moyo na nilienjoy maisha mpaka pale aliponiacha.pia hata mwanamke mwenye pumu tena huyu alikua wa moto sana, hadi nikawa tukiwa outings natembea na inhaler.

So kikubwa ni kuwekana wazi mwanzo wa mahusiano itawasaidia sana. Ukisema tuanze kuchunguzana sana itakua ni hatari kwani kuna watu wana changamoto zaidi ya magonjwa, lakini hata wao wanastahili kupendwa na kupenda.
namkumbuka vio... wangu alikua na kichupa cha gas anatemebea nacho alikua ananiambia nikiona nimezidiwa nipulizie mdomoni
 
Nilishawai kukosa tunda kwa ajiki ya hayo maperfume aisee. Nilipiga ya kushato kumbe mtoto na pumu aisee sikupata hasa kiss wala kumbatio aisee, nilijuta sana nikajifunza kua na kiasi kwenye kujipulizia hayo madude ni kero kwa wengine.
 
ku save muda, gharama piaa.

ukimpeleka lodge hizo gharama zingetumika kumpozaa huyoo uloenda nae.

vilevile muda na kuchoreshana huko lodge wengine hawapendi.
Ila huko hostel hakna kuchoreshana? Hii hali inafanya wengine waone maisha ya hostel ni upuuzi na mzgo. Khaaaah
 
dah yalinikuta nilikuwa na dem wanaosoma shule za islamic seminary alafu niwatanga nilikimbia gest kama masaa matatu hv nikarudi nikamkuta amezinduka mwenyw nashukur ilikuw ni mchana nilibidi nimpe nauli arudi shule. siku hy nilijua ndio naenda jela kwakuua yani
ili yy akaniambia hua inamtokea hali hy akiwa shule wanamuombe anakuwa kawaida.
toka siku hy nilikuwa naogopa sn papuchi za madem wanao vaa shungi.
Mungu wangu wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zinauma lol.
 
Back
Top Bottom