Mpenzi wa rafiki yangu kabanwa na pumu akiwa chumbani kwa jamaa

Kwaiyo ukaona uje kumuaibisha hapa siyo huyo binti mwenye miaka 22, mfupi, anavaa ushungi? Nauhakika wazazi wake wameshamjua.
 
Kwaiyo ukaona uje kumuaibisha hapa siyo huyo binti mwenye miaka 22, mfupi, anavaa ushungi? Nauhakika wazazi wake wameshamjua.
kaka chuoni kuna wanafunzi wangapi wenye sifa kama hizoo, sio rahici kuweza kujuaa
 
Kwaiyo ukaona uje kumuaibisha hapa siyo huyo binti mwenye miaka 22, mfupi, anavaa ushungi? Nauhakika wazazi wake wameshamjua.
na isitoshe hizo sifa nlizozitoa ni za kubahatisha sio sahihi 100% ,anaweza kuwa ni 21 yrs au kavaaa huo mtandio kujifunika usoni asionekane akiingia room kwa jamaa ,au hapendi kuonesha kuwa hajasuka ,so majibu yako mengiiii
 
ni ushirika hapaa ndipo msala ulipotokeaa na sio huko vikenge, anyway twenzetu uswazi chini tukapige vyombo
 
Alafu na hawa askari wetu lazima wangekupiga murder case....
baada ya aka tano ndani ungeambiwa alaa kumbe dem alikuwa na pumu...
bora hakufa usirudie tena
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu sasa hilo shetani liwe la kiume lol. Mbna utahaha kwa hilo varangati lake. Khaaaaah,
Vipi yalikukuta?
dah yalinikuta nilikuwa na dem wanaosoma shule za islamic seminary alafu niwatanga nilikimbia gest kama masaa matatu hv nikarudi nikamkuta amezinduka mwenyw nashukur ilikuw ni mchana nilibidi nimpe nauli arudi shule. siku hy nilijua ndio naenda jela kwakuua yani
ili yy akaniambia hua inamtokea hali hy akiwa shule wanamuombe anakuwa kawaida.
toka siku hy nilikuwa naogopa sn papuchi za madem wanao vaa shungi.
 
na isitoshe hizo sifa nlizozitoa ni za kubahatisha sio sahihi 100% ,anaweza kuwa ni 21 yrs au kavaaa huo mtandio kujifunika usoni asionekane akiingia room kwa jamaa ,au hapendi kuonesha kuwa hajasuka ,so majibu yako mengiiii
Na kwa mujib wa hint zako inajulikana ni mzumbe
 
Naomba kuuliza hv kuna mwanamke ambae yuko timilifu kiafya angalau kwa asilimia 90?? Mana unakuta unadeti na huyu ana pumu,yule ana malaria sugu,mwngne ana maumiv ya kichwa yasiyokoma, mwngne kila sku anaumwa tumbo, mwngne mara hedhi inaanza katkat ya mzunguko,mwngne cjui moyo unadundia pembeni yan tafrani. Yan ukiamka asbuh ukimtumia sms "vp umeamkaje" lazma atakuambia kuna ktu kinamuuma. Hv kuna mwanamke mzma angalau kwa 90%?
 
Mm nishasoma nikagraduate.naomba kazi kwa kampun yako
 
namkumbuka vio... wangu alikua na kichupa cha gas anatemebea nacho alikua ananiambia nikiona nimezidiwa nipulizie mdomoni
 
Nilishawai kukosa tunda kwa ajiki ya hayo maperfume aisee. Nilipiga ya kushato kumbe mtoto na pumu aisee sikupata hasa kiss wala kumbatio aisee, nilijuta sana nikajifunza kua na kiasi kwenye kujipulizia hayo madude ni kero kwa wengine.
 
ku save muda, gharama piaa.

ukimpeleka lodge hizo gharama zingetumika kumpozaa huyoo uloenda nae.

vilevile muda na kuchoreshana huko lodge wengine hawapendi.
Ila huko hostel hakna kuchoreshana? Hii hali inafanya wengine waone maisha ya hostel ni upuuzi na mzgo. Khaaaah
 
Mungu wangu wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zinauma lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…