Mpenzi wa rafiki yangu kabanwa na pumu akiwa chumbani kwa jamaa

namkumbuka vio... wangu alikua na kichupa cha gas anatemebea nacho alikua ananiambia nikiona nimezidiwa nipulizie mdomoni
Kikubwa tu kua mkweli, hakuna mahusiano matamu kama mtu kua mkweli na muwazi kwa kila mtu, yaani unaweza kujihisi mfalme/malkia fulani hivi wa visiwa vya Mapenzi.

Kuna ushuhuda unaofanana na hii kitu msela wangu mmoja (ke) alikua na bae wake anakisukari, bidada alikua anachom sindano na bae wake, mpaka leo hii wanakula happy.
 
Subiri kwanza.

Foreplay wakiwa na nguo za ndani.

Kwani walikuwa wanaplay na nini?

Hapo kwenye My Take hapo Acha wivu.

Mxxxiiieeeuu.
 
Alafu na hawa askari wetu lazima wangekupiga murder case....
baada ya aka tano ndani ungeambiwa alaa kumbe dem alikuwa na pumu...
bora hakufa usirudie tena
hatorudia tena kakiri kutofanya hivyo
 
Nilishawai kukosa tunda kwa ajiki ya hayo maperfume aisee. Nilipiga ya kushato kumbe mtoto na pumu aisee sikupata hasa kiss wala kumbatio aisee, nilijuta sana nikajifunza kua na kiasi kwenye kujipulizia hayo madude ni kero kwa wengine.
pole sana
 
Ila huko hostel hakna kuchoreshana? Hii hali inafanya wengine waone maisha ya hostel ni upuuzi na mzgo. Khaaaah
hakuwez kukosekana ,kama ilivokuwa kwenye hio hali. Lazima tukae jirani likitokea la kutokea tukatoe msaada
 
Subiri kwanza.

Foreplay wakiwa na nguo za ndani.

Kwani walikuwa wanaplay na nini?

Hapo kwenye My Take hapo Acha wivu.

Mxxxiiieeeuu.
umekariri foreplay lazima muwe uchi kabisa, kama we unafanya hivyo wenzako hawafanyi kama wewe.
 
Hahahaaa watoto wa uzumbeni
 
ni kweli perfume yake ni Kali sana ,hata mwenyewe nikigongea huwa inakaa muda mrefu hadi itokee ,inaitwa the superman
Uuuuwwiiiiiiii hiyo perfume ni utopolo haifai kabsaa
Mwambie atupe choon hiyo kitu
 
Daaah aise we jamaa ni mukenya kabsaa
 
Papuchi itatuua jamani vijana tumrudie muamba tuache uzinzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…