Mpenzi wa rafiki yangu kabanwa na pumu akiwa chumbani kwa jamaa

Natoka nje nakutana na wadada wawili wametoka chukua msosi uswazi juu[emoji16][emoji16]

Umenikumbusha hayo maeneo ya mzumbe nilipo kua natoka SUA kuja kwa dem Wang huko

Popote ulipo mage una sehem yako mbinguni
 
Hilo lawezekama , japo nahisi pia anaweza kuwa alipatwa na kitu kingiine labda perssure
yote yanaweza kuwa sahihi, ila pressure na kushindwa kupumua vizuri sijui
 
Hilo balaa lilishanikumba Geust ya Kinondoni nilichukua rafiki wa demu wangu ambaye alikuwa mke wa polisi aisee kumbe pumu na joto ni vitu tofauti. Nikawa napiga nasikia mlio kama wa airbus fyuuuui fyuuuuuu nakoleza mtalimbooo eeh mara akasema nashindwa kupumua nikamtoa nje na shuka za geust akawa anapigwa na upepo.
 
pole sana, huku plan kukimbiaa kweli[emoji38][emoji38]
 
hakuwez kukosekana ,kama ilivokuwa kwenye hio hali. Lazima tukae jirani likitokea la kutokea tukatoe msaada
Tatzo sio kuchoreshana, tatizo ni kufanyia uchafu hostel za chuo, huku wakiishi wanafunzi wa aina mbali mbali, hii tabia ni mbaya San, bahati nzuri sijawahi ishi hostel za chuo ningenyoosha hii tabia. Wallah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushauri huu unajua wa kumpa.
 
Tuanzie kwanza kwenye huo mstari wa mwisho hapo. Kwamba ufalme wa mbinguni utaurithi wewe?
 
Mkuu ka ma ni Makumira apo basi hilo ni li x langu fulani limbulu khumamame, mweupe anamavinyweleo kama sokwe, mtamuuu, anapendelea chupi nyeupe, akiwa anakojoa anapiga ukunga
 
Tatzo sio kuchoreshana, tatizo ni kufanyia uchafu hostel za chuo, huku wakiishi wanafunzi wa aina mbali mbali, hii tabia ni mbaya San, bahati nzuri sijawahi ishi hostel za chuo ningenyoosha hii tabia. Wallah
ungenyoosha kwa namna gani labda[emoji28][emoji28] wenzako wanafatwa wanagongewa humo humo kwenye mapazia nawewe umekaa hapo unasikizia tuu
 
Tuanzie kwanza kwenye huo mstari wa mwisho hapo. Kwamba ufalme wa mbinguni utaurithi wewe?
sijasema hivyoo, lahashaa, tatizo letu wakristo mtu akitukumbusha Jambo tunamuona kama ni too religious ,I don't know kama we ni christian , [emoji16][emoji16]
 
Mkuu ka ma ni Makumira apo basi hilo ni li x langu fulani limbulu khumamame, mweupe anamavinyweleo kama sokwe, mtamuuu, anapendelea chupi nyeupe, akiwa anakojoa anapiga ukunga
ahahaa mkuu , mtu mzito.
huyo dada sio wa makumiraa, huyo wa makumira bado hajajaa kwenye angs zetu
 
Hapo umekosea kidogo. Hakuna mtu anapenda kuwa na shida kama hiyo. Boresha labda tuache kuchukua watu tusio jua abc zao. By the way mm n fans wa story zakoo 😅
 
Hapo umekosea kidogo. Hakuna mtu anapenda kuwa na shida kama hiyo. Boresha labda tuache kuchukua watu tusio jua abc zao. By the way mm n fans wa story zakoo [emoji28]
hahahahah sawa sawa mkuu, karibu sana nina mengi ya kushare na wana jf wenzangu, tatizo muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…