15,000 kibongobongo 33m pensheni ya mtumishiAseh!, yaani Naomi ana date bilioneas tu..
Nakumbuka wakati career yake iko at the peak. Alikuwa ana demand dau la uhakika kufanya catwalk. Alikuwa akiitiwa kazi, hatoki kitandani bila $15,000 per session.
Serena anapesa akienda kudate na tajiri watasumbuana akili.Ahhh ukiwa na mapesa kidole gumba kinageuka kuwa hogo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naomi hatulii kwenye mahusiano sijui kwanini?...yule mrusi alimmwaga coz Naomi mpenda bata na kulala nje....mzee wa watu akasepa!
Siku hizi kampata mbabu Louis Camillieri billionaire la kufa mtu, CEO la Ferrari na Altria group,....sema Naomi huwa hadate na maskini kama Serena Williams[emoji126]
Kwani Naomi hana hela?[emoji15]Serena anapesa akienda kudate na tajiri watasumbuana akili.
Eti na mibangi yake[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sio kwamba ni mbaya hapana hata mwenyewe namtamani (japo najua hawez kunikubali) maana hela yangu ya mawazo sana. Ikitokea bahati namkamua vizuri tu na mibangi yake.
Duuuh...hela ndefuu sana!...japokuwa anapenda batazz but ana kichwa kwa kuinvest!Aseh!, yaani Naomi ana date bilioneas tu..
Nakumbuka wakati career yake iko at the peak. Alikuwa ana demand dau la uhakika kufanya catwalk. Alikuwa akiitiwa kazi, hatoki kitandani bila $15,000 per session.
Maskini[emoji22] ....Misa ana utu basi!Jamaa hazeeki aseh!
Misa made me tear up! [emoji20][emoji19][emoji22]
βI promise to love and protect Quincy, Chris, Dβlila and Jessie. I will always be here for them. Rest in Power Beautiful Queen,β
Kwani Naomi hana hela?[emoji15]
Sio kweli...ana kazi yake inamuingizia kipato mkuu....top of that ana hela zaidi ya huyo Serena!HUYO HADI APIGWE PAIPU NDO AZIKAMATE
Maskini[emoji22] ....Misa ana utu basi!
Ila yy ajililee mtoto wake huyo Justin, Diddy hamuwezi yule, bado hajatulia kabisa!
Kwani Naomi hana hela?[emoji15]
Sio kweli...ana kazi yake inamuingizia kipato mkuu....top of that ana hela zaidi ya huyo Serena!
Ni hobby yake tu kupenda billionaire
Wamama wasiokuwa hao....wanakula ujana!Kumbe na yeye kama Diddy. Basi kutulizana itakuwa kazi..
[emoji23] Anamchukulia poa eti!....Naomi wa kumfananisha na Serena[emoji15]Teh!, anatania huyo. Naomi hajaanza modelling jana wala juzi.
Wamama wasiokuwa hao....wanakula ujana!
Yaan diddy angemuoa Cassie maskini au masharti huyu jamaa? Hivi kwanini haoi?[emoji15] [emoji72]
[emoji23] Anamchukulia poa eti!....Naomi wa kumfananisha na Serena[emoji15]
Mmmh...Basi Will kichwa, japo Jada yale malezi aliyowapa hawa watoto sio kabisa!.... Willow jamani at that age kuwa lesb or jaden kuwa gay?!....anyway majuu wanaona kawaida labda!Cha kushangaza sasa, wenzake wenye high profile in the industry kama Jigga, Will, wameoa na kutulizwa. Ingawa mshikeshike lakini hao na 'FULL' families zao.
Sa huyu jamaa labda haamini sana katika ndoa anaona kuwa na watoto tu poa.
Nakumbuka majuzi hapa wakati Will Smith anaongelea familia yake, aligusia kuhusu challenges walizopata na Jada kwenye ndoa, lakini akasema kutaka ku solve issues zao, of all options, divorce was not one of them. Hakutaka kabisa ndoa yake ivunjike.
Akasema ambavyo ameshakua divorced once, hakutaka kuwa divorced tena na kuanza moja. Sasa Diddy sijui hata ana wazo la ku settle..
[emoji23] [emoji23]Heheh!, Naomi namba nyingine Ile..π
Mmmh...Basi Will kichwa, japo Jada yale malezi aliyowapa hawa watoto sio kabisa!.... Willow jamani at that age kuwa lesb or jaden kuwa gay?!....anyway majuu wanaona kawaida labda!
Diddy hataki habari za ndoa....labda uzeeni huko akibarikiwa kufika ataoa!
Mmmh...Basi Will kichwa, japo Jada yale malezi aliyowapa hawa watoto sio kabisa!.... Willow jamani at that age kuwa lesb or jaden kuwa gay?!....anyway majuu wanaona kawaida labda!
Diddy hataki habari za ndoa....labda uzeeni huko akibarikiwa kufika ataoa!
List ya wake zanguList ipi hiyo mkuu?[emoji15] [emoji15]