King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ndio demu wa kwanza kwanza wa Puffdaddy.Mmmmh...mi hata simjui, nimemjua baada ya kuwafatilia watoto wa diddy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio demu wa kwanza kwanza wa Puffdaddy.Mmmmh...mi hata simjui, nimemjua baada ya kuwafatilia watoto wa diddy
Ooooh owkey....Ndio demu wa kwanza kwanza wa Puffdaddy.
Nakafanyia tizi hako kamwiliAna kamwili kazuri balaa.
Mmmh....atulie wapi yule, babies mama zake watatu wamebaki na wanapasha viporo kwa kwenda mbele!...Cassie kasepa ila atarudi tu, kile kidemu yuko nacho siku hizi kilichomfanya Cassie akakimbia!
Ila Diddy anakitombesha si kitoto,.... hao tu ndo tunaowajua ambao hatuwajui jee?...yaan yule ni Senior bachelor wa ukwe'e[emoji12]
Hapo ndio ujue wale ni wakukata kiu tuuApumzike kwa amani;kuna kitu cha kujifunza,mi nilifikiri angekuwa mkali kama wale video qn. P.diddy anaowatumia kwenye video.
Duh...kuwa na mwanaume kama Diddy inatakiwa wakuchomeke roho ya chuma[emoji15] [emoji15] ....JLo hatakagi hata kusikia!Yataka moyo sana kuwa na mtu kama huyu aseh. Lakini Kim alimdondokea haswa, sema ndo hivyo mtu mwenyewe sio mume.
Kuna mahala niliona, wakati wana date na Jenny from the block. JLo wakati mwingine alikuwa ana hop from one hotel to the other za NY usiku wa manane, kumtafuta Diddy.
List ipi hiyo mkuu?[emoji15] [emoji15]
Duh...kuwa na mwanaume kama Diddy inatakiwa wakuchomeke roho ya chuma[emoji15] [emoji15] ....JLo hatakagi hata kusikia!
Halafu kumbe wamerudiana na Cassie[emoji15] [emoji15]
Kuna siku humu kipindi Cassie kasepa sijui ilikuwa ni wewe nikasema hawa watarudiana, Cassie kashapotezewa muda kinoma hana ujanja!....akisikia Diddy kamla demu yy kazi yake ni kubeba pamba zake anasepa[emoji23], baada ya hasira kuisha anarudi haaahaaa!Huh!, hivi Diddy ana nini.
Maana wanaenda na kurudi..
Filter zinawaokoaR.I.P Kim.
Muonekano wake hauendani na Umri wake.
Kibongo bongo umri huo na watoto hao angekuwa kibibi.
Mastar wa Bongo wameshindwa kabisa kumaintain.
Mkuu unapendelea kamdudu ka size ganiKuna siku nilikuwa sijui ni wewe nikasema hawa watarudiana, Cassie kashapotezewa muda kinoma hana ujanja!....akisikia Diddy kamla demu yy kazi yake ni kubeba pamba zake anasepa[emoji23], baada ya hasira kuisha anarudi haaahaaa!
Halafu Diddy kama Naomi Campbell sio bangi zake zilimzingua kuna siku kalewa kasema Diddy ana kadudu kama ka mtoto wa la kwanza![emoji15] ...(Naomi na Diddy walikuwa wanakulana)
Sio Mimi mkuu ni Naomi huyo....Mkuu unapendelea kamdudu ka size gani
aahh kumbe nikajua ulikua unakaa huko piaSio Mimi mkuu ni Naomi huyo....
Sio Mimi mkuu ni Naomi huyo....
...Halafu Diddy kama Naomi Campbell sio bangi zake zilimzingua kuna siku kalewa kasema Diddy ana kadudu kama ka mtoto wa la kwanza![emoji15] ...(Naomi na Diddy walikuwa wanakulana)
Kuna siku humu kipindi Cassie kasepa sijui ilikuwa ni wewe nikasema hawa watarudiana, Cassie kashapotezewa muda kinoma hana ujanja!....akisikia Diddy kamla demu yy kazi yake ni kubeba pamba zake anasepa[emoji23], baada ya hasira kuisha anarudi haaahaaa!..
Asubuuuutuuu!....bwanaake huyo tena diddy alivomwagana na Jlo, ndo wakabebana! walivokorofishana ndo Naomi akaanza kukinukisha kuwa ndo maana hata Jlo kammwaga jamaa hamna kitu!...akasema jamani Diddy ana kadudu kadogo hakuna mfano![emoji15] ....sasa ule mwili wa Diddy alivo kaenda hewani daaah!Hahahah!, lakini Wit! [emoji16][emoji23][emoji23]
So all that ladies care about from him s money...lol!
Halafu hawa wawili mie nikajua ni just close friends. Wanavyoitana dada na kaka.