tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Haaahaaa mi nimecheka balaa!....yes na Seal alimpataga Heid but why hawadumu?
Angalau Seal kakaa miaka mingi na Heid, hivi usoni jamaa alipataga ajali or?
$400M??[emoji15] [emoji15] ...Brad kende lazima lishuke mamaae!
Hivi alifikiria nini kumwaga demu mtulivu kama Jen? Akakimbilia kwa kicheche Angie, yule demu hadi alikuwa anasex na braza ake zimo kweli huyo?
Sawa Brad aliwambia washikaji zake kuwa Jennifer hana kizazi but si angetafuta binti aoe? Kaenda kulivaa shangingi la Hollywood... Ngoja divorce itoke aanze kula sembe kama Woods
Haaahaaa.....anashinda na pajama ili iwe rahisi kutoa kiba100 chake kwa totoz[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Moto wa divorce sio wa kitoto kwa watu kama hawa. Jada anakwambia ataki wakisha...lol
Hahaha!, yaani huyu mzee kweli aliamua kula maraha. Diddy labda anafuata nyayo cos anawabadili kama nguo.
Alikuwa ananifurahisha alivyokuwa anashinda na Pajamas, kila wakati..😀😀
Haaahaaa.....vyovyote utakavyochukulia mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahah!, Brad aliingia kingi haswa. Angelina sio wa mchezo mchezo..
Kwakweli Kimora na Djimon hawakuendana kabisa..utadhani houseboy wake haki tena!Kimora is such a Diva. Mariah Carey cha mtoto.
Hounsou Djimon alikuwa anaonekana kama mbeba pochi wake..
Haaaahaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....mbavu zanguKimora ni chotara halafu jamaa kama jaluo.mtoto wao kafanana na baraka da prince
Hivi inawezekana wasigawane mali? Wana agreement lkn wale coz nahisi Jay hakutakaga kuoa ni force za Bey tu
Yes huyo huyoSeal mwanamziki yule mwenye kovu usoni?
Yes huyo huyo
Source ya ndoa yao kuwa void eti Brad alikuwa anachukia wale adoptive children wa Angie yaani eti ni wengi mnoo, kingine eti Angelina mlevi, mgomvi kitu kidogo anakushikia kisu ( utadhani msomali[emoji28] [emoji23] )Hahah!, Brad aliingia kingi haswa. Angelina sio wa mchezo mchezo..
Bujibuji ana nini?...besides mbona wewe mwenyewe huwa hatukuelewi ni me or ni ke?[emoji23] [emoji23]Lazima ukapimwe tupate jibu sahihi,usije ukawa kama bujibuji
Mi sijui wimbo wake hata mmojaYule jamaa namkubali enzi kipaji chake kiko juu
Mi sijui wimbo wake hata mmoja
Haaahaaa[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] ...why it cheaper to keep her? Huh!
Bujibuji ana nini?...besides mbona wewe mwenyewe huwa hatukuelewi ni me or ni ke?[emoji23] [emoji23]
Haaahaaa mi nimecheka balaa!....yes na Seal alimpataga Heid but why hawadumu?
Angalau Seal kakaa miaka mingi na Heid, hivi usoni jamaa alipataga ajali or?
Kimora ni chotara halafu jamaa kama jaluo.mtoto wao kafanana na baraka da prince
Hivi inawezekana wasigawane mali? Wana agreement lkn wale coz nahisi Jay hakutakaga kuoa ni force za Bey tu