Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

$400M??[emoji15] [emoji15] ...Brad kende lazima lishuke mamaae!

Hivi alifikiria nini kumwaga demu mtulivu kama Jen? Akakimbilia kwa kicheche Angie, yule demu hadi alikuwa anasex na braza ake zimo kweli huyo?

Sawa Brad aliwambia washikaji zake kuwa Jennifer hana kizazi but si angetafuta binti aoe? Kaenda kulivaa shangingi la Hollywood... Ngoja divorce itoke aanze kula sembe kama Woods


Hahah!, Brad aliingia kingi haswa. Angelina sio wa mchezo mchezo..
 
Moto wa divorce sio wa kitoto kwa watu kama hawa. Jada anakwambia ataki wakisha...lol



Hahaha!, yaani huyu mzee kweli aliamua kula maraha. Diddy labda anafuata nyayo cos anawabadili kama nguo.

Alikuwa ananifurahisha alivyokuwa anashinda na Pajamas, kila wakati..😀😀
Haaahaaa.....anashinda na pajama ili iwe rahisi kutoa kiba100 chake kwa totoz[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Kimora is such a Diva. Mariah Carey cha mtoto.

Hounsou Djimon alikuwa anaonekana kama mbeba pochi wake..
Kwakweli Kimora na Djimon hawakuendana kabisa..utadhani houseboy wake haki tena!

Ila Kimora ana strong feeling na Honsou, anampenda huyo jamaa sana!

Sijui ni on bed alikolezwa....
 
Hahah!, Brad aliingia kingi haswa. Angelina sio wa mchezo mchezo..
Source ya ndoa yao kuwa void eti Brad alikuwa anachukia wale adoptive children wa Angie yaani eti ni wengi mnoo, kingine eti Angelina mlevi, mgomvi kitu kidogo anakushikia kisu ( utadhani msomali[emoji28] [emoji23] )

Angeline nae anasema Brad alikuwa anampiga kama ngoma!

Yale yale ya Jlo na Marc...
 
Haaahaaa[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] ...why it cheaper to keep her? Huh!


Hahaah!, naona Jada hajui kukopesha. Anampa Will za uso hapo hapo...lol

It's cheaper to keep her, sababu ni kama haya tunayoongelea hapa. Waki divorce halafu kama hakuna prenuptials ndio yatakuwa ya Tiger Woods na Erin. Will itabidi zimtoke haswaa, halafu wanawapa hayo mamilioni kutokana na miaka waliyo ishi pamoja ndoani, ama nusu kwa nusu.
Halafu Jada kwenye episode ijayo ya RED TALK ataongelea kuhusu divorce, kadokezea jinsi ambavyo anaweza kuleta zengwe! 😀

“For me personally, I’m not mature enough to have a divorce,” Pinkett Smith revealed. “I’m just not. I don’t think I would ever be mature enough. I don’t.”
When Braxton asked why, the mother of two explained, “Because when you have to start going in, breaking up assets, that right there…”
Nodding, Pinkett Smith continued, “Let me tell you, that’s when the red table turns upside down and it won’t be red no more!..“This’ll be smashed in shambles,” she added, knocking on her red table. “You know what I’m saying?”
 
Haaahaaa mi nimecheka balaa!....yes na Seal alimpataga Heid but why hawadumu?
Angalau Seal kakaa miaka mingi na Heid, hivi usoni jamaa alipataga ajali or?


Zile scar usoni I think alipataga ajali. Kama nakumbuka vizuri kuna mahala alisema..

Hivi uliwahi sikia ni kwa nini Heidi alimzimia Seal?!
 
Back
Top Bottom