Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Haaahaaa.....anashinda na pajama ili iwe rahisi kutoa kiba100 chake kwa totoz[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mzee alitia fora kwa kweli. Yaani PJs ndo likawa vazi lake rasmi! [emoji38]
 
Jada nae mi hata simuamini ...ubavu wa kumuacha Will hana yule, coz mara kibao anamfumania anang'aka baadae anapotezea!

Hii mikwara ni attention ya kipindi chake hicho na pia audience walimwambia azungumzie ndoa yake ndo unamuona humo red table anajisemesha semesha!
 


Hivi Marc alikuwa abuser?!, mbona hajakaa hivyo aseh!
 
Zile scar usoni I think alipataga ajali. Kama nakumbuka vizuri kuna mahala alisema..

Hivi uliwahi sikia ni kwa nini Heidi alimzimia Seal?!
Hivoo?... Kaka ake eti anasemaga ana lupus sijui

Heidi alimzimia kwa nini? Sijawahi sikia
 
Kwakweli Kimora na Djimon hawakuendana kabisa..utadhani houseboy wake haki tena!
Ila Kimora ana strong feeling na Honsou, anampenda huyo jamaa sana!
Sijui ni on bed alikolezwa....


Nilifikiri ni mwenyewe niliona hivyo..wako tofauti kwa kweli.
 
Halafu I think Jay ali mention mahala, kuwa Bey ndo spinal cord ya ndoa.

Usikute Bey asinge kuwa na msimamo Jay nae angekuwa kama Diddy sai! 😀
Yes ...Jay huwaga hamzimikii Bey sijui kwanini, hivi unajua hadi bidada anamuhonga assets, cash ( MasterCard ya Bey inamilikiwa na Jay) halafu linaenda kuhonga striper, hadi yule mshona nguo Roy, vidada 20's vinakamatia mshiko wa hov na jamaa unaambiwa anahonga kinoma...usimuone Bey anajichekesha chekesha ukaona anafaidi hana lolote!...siri zake nyingi Kelly Rowland ndo anazijua na anazifichua kwa mahater wa Bey
 
Haaaahaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ....nilihisi

Yale yale ya Kimora Lee na Djimon
Kimora nae ndo sababu ya kumzimia jamaa?!, [emoji3]

Hawa Wa West hawa...[emoji28]
 
Kimora nae ndo sababu ya kumzimia jamaa?!, [emoji3]

Hawa Wa West hawa, sijui ni hizo pepper soup wanakula..[emoji28]
Wameachana lakini Kimora kutwa kumsifia Djimon[emoji23]

Hata huyo Kenzo anapendwa sana kuliko hawa watoto wengine wa Russell...
 
Nilichoka....ila kwa unga yawezekana jamaa anafanania na mateja, ila kwa kipigo kama jlo alivyolament sijui
Halafu kukawa na rumors kuwa alitoka pia na Jada. Lakini naona walisema vile kutokana na Ile show yao walikuwa pamoja ya RN. Walikuwa na chemistry ya nguvu sana when it came to romance mpaka ikawa questionable.

Sidhani walitoka lakini cos Marc and Will seem to be good friends.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…