Watu washaanza minong'ono eti alikuwa anakula chakula ya nyoka!Yaani, acha tu!
Mmama sistaduu balaa....kuna huyu na yule ex wife wa Eddie Murphy, Nicole wanajipenda sana hawa wamama!
Ndo nini?M.A.P Kim Porter ...........
chakula cha nyoka yupi, wa kwenye mashimo ardhini au nyoka wa ndani ya suruali?Watu washaanza minong'ono eti alikuwa anakula chakula ya nyoka!
Huyo mjane wa Elvis Presley kawa mzuri or mbaya? Maana yule mbibi kwa visu hajamboMuangalie orprah alivyo sasa hivi anaonekana mdogo na sura ya kisichana ukilinganisha alivyokuwa 30 yrs ago. Pia muangalie tony braxton. Ila pia ni kulinga na genes za mtu hata ukienda under the knife na huna genes nzuri utakongoroka tu kama michael jackson. Mjane wa elvis presley alikuwa tishio enz za ujana wake lakini sasa hivi ukimuona licha ya maplastic surgery anatisha
Sky Eclat
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....unawaza malavidavi tu asubuhi asubuhichakula cha nyoka yupi, wa kwenye mashimo ardhini au nyoka wa ndani ya suruali?
malavi davi wala siyawazi bali yapo ndani yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....unawaza malavidavi tu asubuhi asubuhi
Mean unga
Haahaa....malavi davi wala siyawazi bali yapo ndani yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39]
"unga"=chakula cha nyoka...una akili binti
nilitegemea ushukuruHaahaa....
upogoo
Ana kamwili kazuri balaa.
Huyo mjane wa Elvis Presley kawa mzuri or mbaya? Maana yule mbibi kwa visu hajambo
Huyo mjane wa Elvis Presley kawa mzuri or mbaya? Maana yule mbibi kwa visu hajambo
Watu washaanza minong'ono eti alikuwa anakula chakula ya nyoka!
Umeona eeh....kaumbo kazuri sana ila usoni, halafu mda wote Kim anapenda kucheka cheka hata kama kitu hakichekeshi[emoji15]Nimeona aseh!, wanasema hata usoni alianza kuonyesha kuchoka kwa mashaka.
Mmama sistaduu balaa....kuna huyu na yule ex wife wa Eddie Murphy, Nicole wanajipenda sana hawa wamama!
Unamaanisha nini? Ufafanuz pleaseWatu washaanza minong'ono eti alikuwa anakula chakula ya nyoka!
Sana yule mmama msupu kweli....insta anajiita nikimurphy anatupia kinoma....mi namkubali sana habaatishiHata nimemkumbuka pia Nicole. Yeye ndo kafikisha 50 lakini ukimuona na binti zake utasema ni mashosti wake..
Umeona eeh....kaumbo kazuri sana ila usoni, halafu mda wote Kim anapenda kucheka cheka hata kama kitu hakichekeshi[emoji15]
Mkuu nishajibu huku kwenye comments zinazofuataUnamaanisha nini? Ufafanuz please
Muangalie orprah alivyo sasa hivi anaonekana mdogo na sura ya kisichana ukilinganisha alivyokuwa 30 yrs ago. Pia muangalie tony braxton. Ila pia ni kulinga na genes za mtu hata ukienda under the knife na huna genes nzuri utakongoroka tu kama michael jackson. Mjane wa elvis presley alikuwa tishio enz za ujana wake lakini sasa hivi ukimuona licha ya maplastic surgery anatisha
Sky Eclat