Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Muangalie orprah alivyo sasa hivi anaonekana mdogo na sura ya kisichana ukilinganisha alivyokuwa 30 yrs ago. Pia muangalie tony braxton. Ila pia ni kulinga na genes za mtu hata ukienda under the knife na huna genes nzuri utakongoroka tu kama michael jackson. Mjane wa elvis presley alikuwa tishio enz za ujana wake lakini sasa hivi ukimuona licha ya maplastic surgery anatisha
Sky Eclat
Huyo mjane wa Elvis Presley kawa mzuri or mbaya? Maana yule mbibi kwa visu hajambo
 
Huyo mjane wa Elvis Presley kawa mzuri or mbaya? Maana yule mbibi kwa visu hajambo
Huyo mjane wa Elvis Presley kawa mzuri or mbaya? Maana yule mbibi kwa visu hajambo
ty76JWY.jpg

ty76JWY.jpg
46896ADA00000578-5099961-Discussions_Aside_from_her_appearance_the_American_beauty_discus-m-11...jpg
468968ED00000578-0-image-a-94_1511175625691.jpg
 
Mmama sistaduu balaa....kuna huyu na yule ex wife wa Eddie Murphy, Nicole wanajipenda sana hawa wamama!


Hata nimemkumbuka pia Nicole. Yeye ndo kafikisha 50 lakini ukimuona na binti zake utasema ni mashosti wake..
 
Umeona eeh....kaumbo kazuri sana ila usoni, halafu mda wote Kim anapenda kucheka cheka hata kama kitu hakichekeshi[emoji15]


Yeah, she always smiled jamani.
Mitandaoni wanadai hapa mwisho mwisho alionekana kuwa na Stress.
Lakini kamvumilia sana P. diddy huyu mwanamke aseh!
 
Muangalie orprah alivyo sasa hivi anaonekana mdogo na sura ya kisichana ukilinganisha alivyokuwa 30 yrs ago. Pia muangalie tony braxton. Ila pia ni kulinga na genes za mtu hata ukienda under the knife na huna genes nzuri utakongoroka tu kama michael jackson. Mjane wa elvis presley alikuwa tishio enz za ujana wake lakini sasa hivi ukimuona licha ya maplastic surgery anatisha
Sky Eclat


Ni kweli. Huyu dada sidhani kama alifanya plastic surgery. Ana genes nzuri sana.
 
Back
Top Bottom