Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Kweli eti angesettle tu na Kim, naamini Kim alimpenda Diddy kwa mapenzi yote!

Unasikia tena jipya? Eti Didy kasacrifice![emoji15] [emoji15]....sacrifice ya kwanza ni Notorious, na pili ni huyu eti masharti....watu wa mtaani kwa Kim wanachonga balaa


Whaaaat!, ku sacrifice tena??!!! 😳😳😳
 
Mapichaz pulizi!
 
Yaani hii imekua kasumba huko mamtoni!! "Found dead" sijui huwa wanaishije hawa watu? Hawana familia za kuishi nazo,hawana wasaidizi wa ndani,hawana majirani!!
 
R.I.P Kim.
Muonekano wake hauendani na Umri wake.
Kibongo bongo umri huo na watoto hao angekuwa kibibi.
Mastar wa Bongo wameshindwa kabisa kumaintain.
 
Kweli eti angesettle tu na Kim, naamini Kim alimpenda Diddy kwa mapenzi yote!

Unasikia tena jipya? Eti Didy kasacrifice![emoji15] [emoji15]....sacrifice ya kwanza ni Notorious, na pili ni huyu eti masharti....watu wa mtaani kwa Kim wanachonga balaa
Notorious aliuawa sasa sacrife iko wapi hapo...pambafuuu zao
 
Notorious aliuawa sasa sacrife iko wapi hapo...pambafuuu zao
Yaaan kumbe wazungu nao wambea balaa...notorious kapigwa shaba kila mtu aliona sasa sijui wanamaanisha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…