Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Interest

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
3,434
Reaction score
7,072
Mwanamitindo na Muigizaji wa filamu, Kim Porter, ambaye pia alikuwa ni mpenzi wa Mwanamuziki Sean Combs au Puff Daddy (P. Diddy), amefariki dunia nyumbani kwake usiku wa jana (Alhamisi) akiwa na umri wa miaka 47.

Porter na Diddy walifanikiwa kupata watoto watatu katika mahusiano yao yaliyodumu tangu 1994 na kuvunjika 2007. Mtoto wa kwanza akiwa ni Christian mwenye umri wa miaka 20 hivi sasa, na mabinti mapacha wawili wenye miaka 11.

Japo chanzo cha kifo chake hakijaelezwa bado, ila marehemu alikuwa akisumbuliwa na mafua makali yaliyoambanatana na pneumonia.

Mungu ailaze roho ya Kim Porter mahali pema peponi.

Amen!

kim.jpg
kim-porter-and-diddy-death.jpg
 
Akiwa na watoto wa kuwazaa..quins didy ilibidi am adopt..yaani diddy alikuta akiwa na mtoto mmoja

Diddy kazaa naye watoto watatu.Chrstian Combs na hao mabint mapicha

Nakumbuka BET HipHop award 2006 ilikuwa ni couple iliyotajwa na kupendeza..RIP KP
real_sharpton-20181116-0002.jpeg
 
Muangalie orprah alivyo sasa hivi anaonekana mdogo na sura ya kisichana ukilinganisha alivyokuwa 30 yrs ago. Pia muangalie tony braxton. Ila pia ni kulinga na genes za mtu hata ukienda under the knife na huna genes nzuri utakongoroka tu kama michael jackson. Mjane wa elvis presley alikuwa tishio enz za ujana wake lakini sasa hivi ukimuona licha ya maplastic surgery anatisha
Sky Eclat
 
Back
Top Bottom