Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

1.Jion moja nilikuwa natembea na huyu dem tunaelekea gheto tukiwa tumekaribia kama mita 50 tu hv namuona anaingia kwenye vichaka anachuchumaa na kukojoa i was so dissapointed sikutegemea sista du kama yeye akojoe vichakan kirahisi rahis tu mahali pasipo na maji na hata tishu haikuwepo
2. Mwingine alikuja mji ninaoishi alikuwa na ishu zake binafsi so nikawa naishi nae kwa muda ule alokuwa mji ule , tatizo likawa kila muda anazungumzia jinsi maisha ya nyumban kwao yalivyo ya shida huku akionesha ni mtu anaetafuta sababu ya kuondoka home muda wowote ule , nikasema mi mwenyewe bado nina matatizo yangu kibao nibebe yako ya nini ?
3. Huyu alifanyiwa opereshen ya uzaz so kuna kipindi tukawa hatuwezi kuamshiana popo , siku ananitext ananiambia kama nimezidiwa sana atanipa nyuma ilihali hata sikumwambia kuwa nimezidiwa, nikaona hapa sipo ndo mambo zake itakuwa huyu
 
Asa mtu asiseme ya moyoni😅😅😅😅
 
Kwenda kulala kwa ex wake akisingizia eti kafiwa anakwenda kulala matanga huko na kumfariji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…