Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅Nilipeleka mkono kwenye K yake akaniambia embu ACHA kuchezew mali zangu!! Nikasema hakuna mkitu apa
Ulijuaje mkuu zerominus10 ulikuta message kwenye simu yake au?Niligundua kuna muhuni anampigia kwenye 0718 nikaona isiwe kesi kuanzia hapo nikawa simzingatii sasa hivi kazeeka Mimi akiniangalia bado kijana km nimezaliwa Jana 0713 yake sijui ina hali gani na haujaolewa pamoja na kutoa 0714 kwa wahuni waishughulikie
Mbuzi kwenye gunia sio😀Ukiniomba sex kabla ndoa 😉
Hayo ni mambo kiintelijensia zaidi ila tu niseme alijisahau nikahamisha mafaili ya simu yake yote kwenye laptop yangu nilipoanza ukaguzi wangu wa kijasusi nikafuma voice notes kadhaa hapo ndipo nilipomaliza mchezo spy next door, don't try this at home km una moyo wa kuku utaua mtu maana unamdaka red handedUlijuaje mkuu zerominus10 ulikuta message kwenye simu yake au?
😁😁😁 uyo ni mjinga sana analeta habari za bongo movieUkimwambia kitu hasikii.....
Ukimwambia usifanye kitu Fulani anakuangalia juu Hadi chini...
Ogopa Sana wakwaya na wajita..
😁😁😁Nilipeleka mkono kwenye K yake akaniambia embu ACHA kuchezew mali zangu!! Nikasema hakuna mkitu apa
Ulimpa??Ukiniomba sex kabla ndoa 😉
Kuna watu wataamini eti!Kitu silidiiiii
Haijawahi hata kupitisha kimba au sio?Kitu silidiiiii
Umenikumbusha mjomba wangu ambaye alikuwa na mchumba wake. Mchumba kila siku anadai bado silidi. Mjomba akawa anamwamini wakati siye tunajua kuna watu wanakula. Ilikuwa kama dhambi ukimweleza kuwa asitegemee kukuta ni silidi. Siku aliyofunga ndoa alikuta hola. Na ndiyo ilikuwa mwisho wa mapenzi yao. Kitu hicho kilimsumbua mjomba na alifariki kwa ajaliUtainunua kwa bei ya ndoa
Hahaha Mimi iniue k-uma aah kumamakesiomimi siwezi kufa kisa k-uma hio ni stage ya awalikabisa ya ujanaUmenikumbusha mjomba wangu ambaye alikuwa na mchumba wake. Mchumba kila siku anadai bado silidi. Mjomba akawa anamwamini wakati siye tunajua kuna watu wanakula. Ilikuwa kama dhambi ukimweleza kuwa asitegemee kukuta ni silidi. Siku aliyofunga ndoa alikuta hola. Na ndiyo ilikuwa mwisho wa mapenzi yao. Kitu hicho kilimsumbua mjomba na alifariki kwa ajali
Wapare hata Mimi niliapa Sisi 😂😂😂Aliniambia ye ni mpare
Safi sana Mkuu1st, alikuwa anapenda sana starehe na tulikutana club nikataka mbadilisha nikashindwa siku nampiga chini (bila yeye kufahamu) aliniomba twende viwanja usiku nikamwambia sijiskii kutoka akasema basi nimruhusu aende na marafiki zake alafu atarudi na kweli nikamruhusu akaenda akarudi saa 10 alfajiri. Nikasema huyu nitakuwa napiga mpaka nikimchoka nampiga chini uzuri wake ni janga.
2nd, nilimpenda mno ila tatizo uchafu yani hakuna kitu nachukia kwa mtu kama uchafu. Huyu demu ni amesimama hatari alafu wa kishua mno ila ananuka kwapa na hataki mambo ya deodorant wala perfume. Nilimnunulia perfume ya laki 3 akaenda kugawa anasema hapendi perfume na ata akioga bado ananuka jasho kali yani kuna muda anakuwa na nywele za kwapa zimechachamaa ni nyekundu alafu hajali wala nini so nikampiga chini ila mpaka leo hajui shida nini mimi nilimpa sababu za uongo na kweli.
3rd, umalaya nilikuja kumjua baadae sana kuwa ni malaya wa level kubwa baada ya kunipa nyuma na nikambana alianzaje akanipa full mkanda yani ni mzoefu kumbe siku zote namgusagusa tu mpaka agongwe nyuma ndio anarizika. Baada ya hapo nikawa namdanganya nimesafiri nimepata msiba mpaka leo akajiongeza tu nimeachwa.
4th, huyu alikuwa single maza nilitaka kujilipua ila vitu viwili vilinikatisha tamaa moja tukigombana anampost status mtoto wake ananipiga vijembe kupitia mtoto wake nikaona in the future huyu mtoto atakuwa ndio silaha ya kunimaliza pili ni kama nilizinduka usingizi why naoa mtu mwenye mtoto kwa nn nisianze afresh yan nakosa nn mpaka nikabebe mizigo ya watu
Noma sana!Demu mkali laki muha