Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

Kabla sijaoa manzi angu alishawahi nituhum uongo mbaya sana,ikaniuma kweli sasa katika vikao vya usuluhushi uvumilivu ukanishinda nikamuuliza " mbona unanipa tuhuma za uongo namna hii wakat mimi ninakuvumilia kwenye mengi. Wewe ni mchafu sana, tena ni mwanamke mvivu, hapa tunapoongea, ndani kuna vyombo havijaonshwa karibu week, na kingine una tabia inanipa mashaka sana ya kuweweseka usiku ukiwa unaota, au ni kwasababu ya hizo chale mwilini? Na hujawah kunipa jibu la maana mtoto wa kikriatu tena mlokole, hizo chale mwilini umezitoa wapi??".

Aahhhhhh yule manzi hakuwahi hata kutaka kunisikiliza nimuombe msamaha tena!!!!😂😂😂😂😂😂.

Yangu yalimchoma, ila yake aliona mimi kama hayaniumi na ukizingaria keai ilishafika mbali mpaka kusikilizwa na third parties 😆😆
 
Lipo limoja hapa nmekaaa ninalielekeza kwamba hela tunapaswa kuwekeza kisha matunda ndio tule hata halielewi

Vivu halofanyi usafi wala kupika halitaki kazi bas katafute halitaki haya leta mawazo ya biashara anataka kuuza magauni ya kuanzia 800k

Shenzi
Hahaha oyaaaa ilo ni lijini man kimbiaa mwendo wa kasongoooo
 
Habari za weekend!

Kuna baadhi ya maneno watu wetu wa karibu wakiongea huwa yanatuumiza sana, sometimes inapelekea kupoteza interest ya kujenga maisha na huyo mtu.

Kuna mwanamke flani nilikuwa naye kwenye mahusiano takribani miaka 2, kuna siku bhana akaniuliza "hivi baby hata nikiolewa na mtu mwingine si tutakuwa tunakutana kisirisiri tunafanya mambo yetu?"

Kwa harakaharaka nikamjibu nikamjibu "ndio", ila ile kitu haikukaa vizuri kichwani mwangu, nilimwona kama mtu mwenye roho ya usaliti, kama anaweza kumfanyia mume wake hivyo si anaweza hata kunifanyia mimi.

Siku nyingine huyohuyo mwanamke akanambia maneno haya "Mimi sijali kuhusu matatizo yako, wewe ni mwanaume, wewe ndio inabidi ujali kuhusu matatizo yangu", baada ya hapo nikiwa simchukulii serious kabisa, wala sikutegemea mahusiano yetu yafike stage za kuoana.

Mwingine bhana alikuwa akiniomba hela afanye biashara, kuna siku alinieleza vizuri kabisa kuhusu hio biashara nikaipenda, nikamuahidi ntampa hela aanze, ilikuwa ni 1.5M.

Hio hela nilimpa kama baada ya wiki moja hivi, siku zilizofata nikawa nafatilia maendeleo yake na amefikia wapi, akawa tu ananiambia anasubiri vibali na issue zingine, mimi ilifika kipindi nikapotezea, kuna siku sasa mama ake akanipigia, ndio akaniambia kila kitu, ile hela bhana aliitumia kununua nguo, viatu, vipodozi, kabati la nguo na vikorokoro vingine,

Halafu ukizingatia sio mtu ambaye alikuwa hana nguo au anavaa vibaya, lahasha, hii kitu ilinifanya nipoteze interest kabisa na huyu mwanamke, nikawa namuona sio wife material kabisa, nilivoongea nae akasema sijui mambo hayakukaa sawa sijui kuna hela alizulumiwa, sababu kibao alitoa, nilimshangaa sana, hadi leo nikikumbuka nabaki nacheka tu.
me dem kuniomba pesa huwa naamini ni tabia yake hafwai kuwa karibu yangu, ananiona kama kitega uchumi chake
 
Kabla sijaoa manzi angu alishawahi nituhum uongo mbaya sana,ikaniuma kweli sasa katika vikao vya usuluhushi uvumilivu ukanishinda nikamuuliza " mbona unanipa tuhuma za uongo namna hii wakat mimi ninakuvumilia kwenye mengi. Wewe ni mchafu sana, tena ni mwanamke mvivu, hapa tunapoongea, ndani kuna vyombo havijaonshwa karibu week, na kingine una tabia inanipa mashaka sana ya kuweweseka usiku ukiwa unaota, au ni kwasababu ya hizo chale mwilini? Na hujawah kunipa jibu la maana mtoto wa kikriatu tena mlokole, hizo chale mwilini umezitoa wapi??".

Aahhhhhh yule manzi hakuwahi hata kutaka kunisikiliza nimuombe msamaha tena!!!!😂😂😂😂😂😂.

Yangu yalimchoma, ila yake aliona mimi kama hayaniumi na ukizingaria keai ilishafika mbali mpaka kusikilizwa na third parties 😆😆
Shida yao ukienda kwenye usuluhishi anaropoka kila kitu akijua atakumaliza,sisi wanaume kuna mengine unaona aibu unafunika,sasa ikitokea kakukera ndio pale unamwaga uozo wake wote anabakia katoa macho...
 
1st, alikuwa anapenda sana starehe na tulikutana club nikataka mbadilisha nikashindwa siku nampiga chini (bila yeye kufahamu) aliniomba twende viwanja usiku nikamwambia sijiskii kutoka akasema basi nimruhusu aende na marafiki zake alafu atarudi na kweli nikamruhusu akaenda akarudi saa 10 alfajiri. Nikasema huyu nitakuwa napiga mpaka nikimchoka nampiga chini uzuri wake ni janga.

2nd, nilimpenda mno ila tatizo uchafu yani hakuna kitu nachukia kwa mtu kama uchafu. Huyu demu ni amesimama hatari alafu wa kishua mno ila ananuka kwapa na hataki mambo ya deodorant wala perfume. Nilimnunulia perfume ya laki 3 akaenda kugawa anasema hapendi perfume na ata akioga bado ananuka jasho kali yani kuna muda anakuwa na nywele za kwapa zimechachamaa ni nyekundu alafu hajali wala nini so nikampiga chini ila mpaka leo hajui shida nini mimi nilimpa sababu za uongo na kweli.
3rd, umalaya nilikuja kumjua baadae sana kuwa ni malaya wa level kubwa baada ya kunipa nyuma na nikambana alianzaje akanipa full mkanda yani ni mzoefu kumbe siku zote namgusagusa tu mpaka agongwe nyuma ndio anarizika. Baada ya hapo nikawa namdanganya nimesafiri nimepata msiba mpaka leo akajiongeza tu nimeachwa.
4th, huyu alikuwa single maza nilitaka kujilipua ila vitu viwili vilinikatisha tamaa moja tukigombana anampost status mtoto wake ananipiga vijembe kupitia mtoto wake nikaona in the future huyu mtoto atakuwa ndio silaha ya kunimaliza pili ni kama nilizinduka usingizi why naoa mtu mwenye mtoto kwa nn nisianze afresh yan nakosa nn mpaka nikabebe mizigo ya watu
Hiyo ya kwanza kuna sister yangu mmoja inamuangusha sana sana alafu age go aisee namuonea huruma
Nyingine jamaa unajuaa kuandika na kupangilia maneno we jamaa mwalimu nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kidin
 
Tupo kwenywe uchumba zaidi ya mwaka mmoja na kila siku tunapanga mipango.. Kuna siku aliniuliza hivi baby una mpango gani namimi!?
Nikamuuliza kwamba wewe ndio special sana au kwanini uskilize una mpango gani na mahusiano yetu..akanuna ni nikamblock nikatafute bebe mwingine mtaani yeye amebaki kuomba msamaha kila siku
Hiko tu ndio ukafanya umblock?. Wanaume bado mna safari ndefu sana.
 
Tupo kwenywe uchumba zaidi ya mwaka mmoja na kila siku tunapanga mipango.. Kuna siku aliniuliza hivi baby una mpango gani namimi!?
Nikamuuliza kwamba wewe ndio special sana au kwanini uskilize una mpango gani na mahusiano yetu..akanuna ni nikamblock nikatafute bebe mwingine mtaani yeye amebaki kuomba msamaha kila siku
Gangster
 
Habari za weekend!

Kuna baadhi ya maneno watu wetu wa karibu wakiongea huwa yanatuumiza sana, sometimes inapelekea kupoteza interest ya kujenga maisha na huyo mtu.

Kuna mwanamke flani nilikuwa naye kwenye mahusiano takribani miaka 2, kuna siku bhana akaniuliza "hivi baby hata nikiolewa na mtu mwingine si tutakuwa tunakutana kisirisiri tunafanya mambo yetu?"

Kwa harakaharaka nikamjibu nikamjibu "ndio", ila ile kitu haikukaa vizuri kichwani mwangu, nilimwona kama mtu mwenye roho ya usaliti, kama anaweza kumfanyia mume wake hivyo si anaweza hata kunifanyia mimi.

Siku nyingine huyohuyo mwanamke akanambia maneno haya "Mimi sijali kuhusu matatizo yako, wewe ni mwanaume, wewe ndio inabidi ujali kuhusu matatizo yangu", baada ya hapo nikiwa simchukulii serious kabisa, wala sikutegemea mahusiano yetu yafike stage za kuoana.

Mwingine bhana alikuwa akiniomba hela afanye biashara, kuna siku alinieleza vizuri kabisa kuhusu hio biashara nikaipenda, nikamuahidi ntampa hela aanze, ilikuwa ni 1.5M.

Hio hela nilimpa kama baada ya wiki moja hivi, siku zilizofata nikawa nafatilia maendeleo yake na amefikia wapi, akawa tu ananiambia anasubiri vibali na issue zingine, mimi ilifika kipindi nikapotezea, kuna siku sasa mama ake akanipigia, ndio akaniambia kila kitu, ile hela bhana aliitumia kununua nguo, viatu, vipodozi, kabati la nguo na vikorokoro vingine,

Halafu ukizingatia sio mtu ambaye alikuwa hana nguo au anavaa vibaya, lahasha, hii kitu ilinifanya nipoteze interest kabisa na huyu mwanamke, nikawa namuona sio wife material kabisa, nilivoongea nae akasema sijui mambo hayakukaa sawa sijui kuna hela alizulumiwa, sababu kibao alitoa, nilimshangaa sana, hadi leo nikikumbuka nabaki nacheka tu.
Basi jua tulishakutana tukatom.bana
 
Back
Top Bottom