Yule ex wangu niliyekuwa nampenda sana tulikuwa tunaitana na nilimsave "smart ass"[emoji23]Mie sinaga majina mazuri/romantic kwa wapenzi wangu
Yule ex wangu niliyekuwa nampenda sana tulikuwa tunaitana na nilimsave "smart ass"
Huyu wa sasa hivi nae ana jina lake ambalo ni mbali na uromantic
Mzee kumbe unapitaga hizi chochoro zetu za vijana[emoji28][emoji28] dah kweli uzee mwisho j.fYule ex wangu niliyekuwa nampenda sana tulikuwa tunaitana na nilimsave "smart ass"[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheee😳😳😳
Comment zako zinanifurahisha aisee 🤣🤣🤣Nilimuita my everything na niliachwa sahizi ni mwendo wa my gunia la mkaa 😂😂
Sasa mm najuaje kama anajihis Yuko peponi 😂😂
Furahi tu dear😂 maisha yenyew hayaComment zako zinanifurahisha aisee 🤣🤣🤣
Kwa kweli nimefurahi kuona comment yako baada ya muda mrefuFurahi tu dear😂 maisha yenyew haya
Hilo limekaa vizuri😁😁😁😁
Unamuita nani?Hilo limekaa vizuri😁😁😁😁
Mi namuita.....!😁
Kuna raha zake huku[emoji23]kuna mengine tunadesa [emoji23]Mzee kumbe unapitaga hizi chochoro zetu za vijana[emoji28][emoji28] dah kweli uzee mwisho j.f
Hapana shee usije ukaunguza picha[emoji1544][emoji1550]Sheee[emoji15][emoji15][emoji15]
I hope sio mdogo wangu huyo!!!
Oooh!! Kwahiyo wapo wengi si ndio?
Kweli babe mimi nafanana na ngogwe 😔Cute wife utamfananisha na nini? Labda ngogwe