Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Anaitwa Mrs Misukosuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani fire 🔥🔥🔥😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Taifa gas
Wewe umepigwa n kitu kizitoWenye wapenz mje hapa
Nipo likizo Kwa muda 😂Wewe umepigwa n kitu kizito
Parachichi.Kuna misemo mingi wapenzi huwa wanapenda kutamka/ kutamkiwa na wapenzi wao.
Kwa mfano:
your my chocolate, my honey, my apple, my banana, my angel, my bank. Etc embe share idea ni kitu gani kizuri huwa ukimtamkia mpenzi wako huwa anajiisi yupo peponi.
KACHUMBARI, yaani ni pasua kichwa haswaa, michanganyo yote naionaKuna misemo mingi wapenzi huwa wanapenda kutamka/ kutamkiwa na wapenzi wao.
Kwa mfano:
your my chocolate, my honey, my apple, my banana, my angel, my bank. Etc embe share idea ni kitu gani kizuri huwa ukimtamkia mpenzi wako huwa anajiisi yupo peponi.
😀😀😀Parachichi.
😂😂😂KACHUMBARI, yaani ni pasua kichwa haswaa, michanganyo yote naiona
[emoji28][emoji28]Kuna hii pisi nimeipata juzi kati inaitwa zai,sahizi nataka nibadili jina nisevu,"Mafao"maana si Kwa mizinga hii.
Wanasema ogopa sana mwanamke anaekuita daddie[emoji23][emoji23]Sahivi tunawaita daddie.
Hizo babe babe zisha expire.
Me akiniita mamake/mam ake/ mamie/sweetie
Hiiii pepo hii hapa.
Kabisa ni humu tu jf au naturally upo hivyo?Ahna Asante
Napenda sana utani napenda kucheka yaani ukigombana na Mimi utakuwa na matatizo binafsi 😀😀
Kuna vitu pesa haiwezi kukupaKuna kitu kizuri zaidi ya pesa hapa Duniani???
My wewe kama pesa
😀😀Niko hivo hivo ila ninaweakness zangu piaKabisa ni humu tu jf au naturally upo hivyo?