Mpenzi wako ulienae hivi sasa unamfananaisha na kitu gani kizuri hapa duniani?

Mpenzi wako ulienae hivi sasa unamfananaisha na kitu gani kizuri hapa duniani?

Kuna misemo mingi wapenzi huwa wanapenda kutamka/ kutamkiwa na wapenzi wao.

Kwa mfano:
your my chocolate, my honey, my apple, my banana, my angel, my bank. Etc embe share idea ni kitu gani kizuri huwa ukimtamkia mpenzi wako huwa anajiisi yupo peponi.
Namfananisha na box tupu
 
Kuna misemo mingi wapenzi huwa wanapenda kutamka/ kutamkiwa na wapenzi wao.

Kwa mfano:
your my chocolate, my honey, my apple, my banana, my angel, my bank. Etc embe share idea ni kitu gani kizuri huwa ukimtamkia mpenzi wako huwa anajiisi yupo peponi.
Panya Road
 
Dah😂😂😂😂nimekuwa waziri tena
Nimekupa hiko cheo maana unastahili unajua kuwasilisha vizuri hoja zako ( Habari ), unajua kucommunicate vizuri na watu kupitia jokes n.k hata mtu akikwaza au akikujibu vibaya au akiongea maneno mabaya ukasiriki unamjibu vizuri na sio kwakupaniki na hii skills sio kila mtu anayo (communication)
 
Nilimuita my everything na niliachwa sahizi ni mwendo wa my gunia la mkaa [emoji23][emoji23]

Sasa mm najuaje kama anajihis Yuko peponi [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Taifa gas
 
Nimekupa hiko cheo maana unastahili unajua kuwasilisha vizuri hoja zako ( Habari ), unajua kucommunicate vizuri na watu kupitia jokes n.k hata mtu akikwaza au akikujibu vibaya au akiongea maneno mabaya ukasiriki unamjibu vizuri na sio kwakupaniki na hii skills sio kila mtu anayo (communication)
Ahna Asante
Napenda sana utani napenda kucheka yaani ukigombana na Mimi utakuwa na matatizo binafsi 😀😀
 
Back
Top Bottom