Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Basi eggplant(biringanya)Kweli babe mimi nafanana na ngogwe [emoji17]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi eggplant(biringanya)Kweli babe mimi nafanana na ngogwe [emoji17]
Basi eggplant(biringanya)
Kwa hiyo unataka niseme wewe ni apple?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] pumbavu
Kwa hiyo unataka niseme wewe ni apple?
Namfananisha na box tupuKuna misemo mingi wapenzi huwa wanapenda kutamka/ kutamkiwa na wapenzi wao.
Kwa mfano:
your my chocolate, my honey, my apple, my banana, my angel, my bank. Etc embe share idea ni kitu gani kizuri huwa ukimtamkia mpenzi wako huwa anajiisi yupo peponi.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji1544][emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Oooh!! Kwahiyo wapo wengi si ndio?
Panya RoadKuna misemo mingi wapenzi huwa wanapenda kutamka/ kutamkiwa na wapenzi wao.
Kwa mfano:
your my chocolate, my honey, my apple, my banana, my angel, my bank. Etc embe share idea ni kitu gani kizuri huwa ukimtamkia mpenzi wako huwa anajiisi yupo peponi.
Huonekani umekuwa adimu sana sikuhiziKwa kweli nimefurahi kuona comment yako baada ya muda mrefu
Ubusy tu mamii soon nitarudi rasmiHuonekani umekuwa adimu sana sikuhizi
KaribuUbusy tu mamii soon nitarudi rasmi
Asante Waziri wa habari na mawasiliano wa jamiiforum 🤣Karibu
Dah😂😂😂😂nimekuwa waziri tenaAsante Waziri wa habari na mawasiliano wa jamiiforum 🤣
[emoji23][emoji23] hii daddie hiiSahivi tunawaita daddie.
Hizo babe babe zisha expire.
Me akiniita mamake/mam ake/ mamie/sweetie
Hiiii pepo hii hapa.
🤣🤣 umekumbuka anavyokuitaga!!
Hatari sana hiyo [emoji23][emoji23], enzi hizo nilikuwa sijawahi kuisikia mpaka siku moja panapo kule juu kilimani ndo nikaitwa. ubaya niliitwa na aliyekuwa kanizidi umri kwa mbali[emoji1787][emoji1787] umekumbuka anavyokuitaga!!
Nimekupa hiko cheo maana unastahili unajua kuwasilisha vizuri hoja zako ( Habari ), unajua kucommunicate vizuri na watu kupitia jokes n.k hata mtu akikwaza au akikujibu vibaya au akiongea maneno mabaya ukasiriki unamjibu vizuri na sio kwakupaniki na hii skills sio kila mtu anayo (communication)Dah😂😂😂😂nimekuwa waziri tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Taifa gasNilimuita my everything na niliachwa sahizi ni mwendo wa my gunia la mkaa [emoji23][emoji23]
Sasa mm najuaje kama anajihis Yuko peponi [emoji23][emoji23]
Ahna AsanteNimekupa hiko cheo maana unastahili unajua kuwasilisha vizuri hoja zako ( Habari ), unajua kucommunicate vizuri na watu kupitia jokes n.k hata mtu akikwaza au akikujibu vibaya au akiongea maneno mabaya ukasiriki unamjibu vizuri na sio kwakupaniki na hii skills sio kila mtu anayo (communication)