Mpenzi wangu alinifumania, ananichanganya!

Mpenzi wangu alinifumania, ananichanganya!

Ulikosea sana. Ulipaswa kukataa kata kata. Ungesema sio wewe, yule alikuwa ni mzimu anayefanana na wewe. Yaani ungekataa tena ukiwa serious kabisa.

Nakwambia huyo mwanamke wako angeamini maneno yako.

Mwanamke akikufumania hata kama amekukuta uko juu ya kifua kataa kabisaa, sema sio wewe.

Utanishukuru baadaye.
Ni mzimuuu hii kalii
 
Uyo anakujibu huku amekalia mkuyenge wa muhuni ndo maana anashindwa kutoa jibu moja.......kwa utam anaopewa.........
Aläfu nikusanue mademu wote wanacheet sema sisi ndo kujuwa inakuwa ngumu.......
 
Uyo anakujibu huku amekalia mkuyenge wa muhuni ndo maana anashindwa kutoa jibu moja.......kwa utam anaopewa.........
Aläfu nikusanue mademu wote wanacheet sema sisi ndo kujuwa inakuwa ngumu.......
🙄
 
Ningekuwa ni mimi huyo mwanamke wako kabla sijaondoka ningewaogesha maji ndoo tatu kwanza 😹😹😹
 
Uyo anakujibu huku amekalia mkuyenge wa muhuni ndo maana anashindwa kutoa jibu moja.......kwa utam anaopewa.........
Aläfu nikusanue mademu wote wanacheet sema sisi ndo kujuwa inakuwa ngumu.......
Umelewa unaanza kutoa siri zetu?
 
Ungejiongeza kidogo tu basi ungeelewa.

Tatizo hapo sio yeye, mtu asiyekupenda hakucheleweshei jibu. Kiufupi tu ni kwamba wewe ndiye msaliti na maana ya usaliti ni kutokuridhika. Hivyo wewe ndiye unamuweka kwenye njia panda.
Ili uelewe hakikisha unavaa uhusika wake. Iko hivi anakupenda kwasababu alikuchagua kukupenda na hakupenda kwasababu aliyechagua kumpenda haupo kama alivyokudhania. Ni dhahiri anajiuliza akusamehe akiamini utarudi kama anavyokutarajia au asikusamehe kwasababu ushabadirika.

Hakuna swala gumu hapo Jitathimini kama bado unaweza kuwa mwanaume ambaye anakutarajia. Ukichelewa unapigwa chini especially akijiridhisha kuwa you are no longer a man ov her choice.

Kila la kheri
 
Alinifumania lile fumanizi ambalo halina kupinga! Yaani, fumanizi la 100 percentage...

Zikapita siku mbili hanitafuti, nami nikawa kimya na mawazo sijui naanzia wapi kujitetea. Nikaona isiwe tabu, nikaenda kulanduka na Serengeti lager kama 5 hivi, kisha nikampigia simu!

Nikajua hata atakuja juu, lakini mtoto wa watu ndo kwanza akawa mpole kama maji ya kwenye mtungi! Baada ya salamu, nikamuuliza, 'Umenisamehe?' Akacheka kidogo halafu akakaa kimya.

Nikamuuliza tena, 'Au ndo umeniacha tayari?'

Akavuta pumzi akajibu, 'Nimekuacha na sijakuacha pia!' Hapo hapo akakata simu!

Nikapiga tena, akaniuliza, 'Nini?' Nikamwambia, 'Nakupenda.'

Akajibu, 'Nakupenda na sikupendi pia.'

Nipo matatani, ananichanganya sana, sielewi hapa majibu yake mawili mawili yananitia sonona na mtanziko wa mawazo! Kwa ambaye amekutana na swahibu kama hili ulifanyaje kuyaweka mambo sawa? Kijana wenu penzi bado nalitaka maana mtoto miuno kama feni bovu!
Ungekataa na kusingizia umerushiwa majini kama Mayele
 
Ungejiongeza kidogo tu basi ungeelewa.

Tatizo hapo sio yeye, mtu asiyekupenda hakucheleweshei jibu. Kiufupi tu ni kwamba wewe ndiye msaliti na maana ya usaliti ni kutokuridhika. Hivyo wewe ndiye unamuweka kwenye njia panda.
Ili uelewe hakikisha unavaa uhusika wake. Iko hivi anakupenda kwasababu alikuchagua kukupenda na hakupenda kwasababu aliyechagua kumpenda haupo kama alivyokudhania. Ni dhahiri anajiuliza akusamehe akiamini utarudi kama anavyokutarajia au asikusamehe kwasababu ushabadirika.

Hakuna swala gumu hapo Jitathimini kama bado unaweza kuwa mwanaume ambaye anakutarajia. Ukichelewa unapigwa chini especially akijiridhisha kuwa you are no longer a man ov her choice.

Kila la kheri
huu ndo ushauri sasa ahsante
 
Back
Top Bottom