Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Mhhh.....
Siku 45 ulizo fahamiana na mpenzi wako hazija tosha kumjua hata kufikia hatua ya kuleta yanayo wahusu hapa jamvini.
Kama kweli unampenda, jiongeze muda ili muweze fahamiana uzuri. Pia kwa issue ya kukojoa bed, sioni kama ni jambo kubwa sana aiseee.....
Bado unayo nafasi ya kumfaham na pengine utakutana na makubwa zaidi ya kukojoa kwa bed.
Kwa hili la kukojoa bed, nakushauri mkamuone tabibu kama kweli unampenda mdada.
Siku 45 ulizo fahamiana na mpenzi wako hazija tosha kumjua hata kufikia hatua ya kuleta yanayo wahusu hapa jamvini.
Kama kweli unampenda, jiongeze muda ili muweze fahamiana uzuri. Pia kwa issue ya kukojoa bed, sioni kama ni jambo kubwa sana aiseee.....
Bado unayo nafasi ya kumfaham na pengine utakutana na makubwa zaidi ya kukojoa kwa bed.
Kwa hili la kukojoa bed, nakushauri mkamuone tabibu kama kweli unampenda mdada.